Umewahi kupata mkasa gani barabarani?

Umewahi kupata mkasa gani barabarani?

Salaam
Vyombo vya usafiri tunavitumia kutusaidia kutoka sehemu A kwenda B hivyo ni sehemu ya maisha yetu ya kila siku, lakini pia vyombo hivi vinahitaji umakini wa hali ya juu sana uwapo barabarani kwani kosa moja linaweza kupelekea umauti, kilema, uharibifu au hata kupata kesi.

Pia muda mwengine unaweza kujitahidi kuwa makini sana katika uendeshaji wako lakini akatokea mtu tu akakosa umakini na kukusababishia matatizo, lakini pia yapo matatizo ya kiufundi yanaweza yakajitokeza na kusababisha ajali na dhahama.

Wapo wanaotukanwa au kutukanwa barabarani, wapo wanaopigana kisa uzembe wa barabarani, wapo waliopigwa risasi au kutishiwa kisa makosa ya ki uendeshaji na pia wapo wanaojikuta safari yao inakuwa chungu kutokana na jambo linalowakuta barabarani.

Uzi huu ni maalum kwa mikasa ya barabarani na kama limekukuta tueleze iwe kama somo kwa wengine, si lazima uwe na gari inaweza kuwa pikipiki, bajaji, na hata kama wewe ni abiria pia share yaliyo kukuta. View attachment 1262811
Kuna siku miaka ya 2008 nikiwa nimetoka naelekea zangu misele mida ya jioni saa 10, gari ilikua Haina road license kwa miaka ile, nikaingia barabara ya lami, nikachochea Niko speed 90, kipindi hicho hizi local roads magari machache na traffic wachache hivyo unafungua a tu, hamadi Kuna daladala ananichomekea, kushika break nimpishe yaani ni upepo Hadi mwisho was pedal. Breki hamna, nilipanick vibaya mnooo, lakini nilivyo maneuver kupita Kati Kati ya magari ni mungu tu Mana sikujiona Nina skills hizo, uzuri mbele unashuka mteremko halafu Kuna kilika kibwa hivi, nikacheza na gia Hadi moja, kwenye kupanda kilima gari ikapunguza speed Hadi nikaipaki diagonal ikasimama. Nikashusha pumzi Kama do 40 ivu, Kisha nakaanza Sasa kuisereresha kilima kutudi huku nacheza na gia, taratibu nkamaliza lami ile nainguia vumbi majembe hao, walikua na tenda ya kukamata magari yasiyo na bima na road license, gari Haina breki kusimama siezi nikaunga mbele kwa mbele wakanifata na toyo mi narnda taratibu tu Mana Sina breki tunaongea kabisa, nawaambia gari halina breki imekata nasereresha Hadi nyumbani, nilipofika nyumbani nikatafuta mwinuko nikapaki diagonal fasta nikashuka nikatia jiwe wakanimaind Sana na ukijumlisha Sina road license Sina bima yani ilikua noma, ila niliwaza 20 walikua wawili, nikawaambia mkizungua hate hiyo twenty hampati Mana gari nimepaki ni mbovu, ile gari sikuendesha Tena Hadi leo, nilikua kuiza Bei Chee sana
 
Kuna siku miaka ya 2008 nikiwa nimetoka naelekea zangu misele mida ya jioni saa 10, gari ilikua Haina road license kwa miaka ile, nikaingia barabara ya lami, nikachochea Niko speed 90, kipindi hicho hizi local roads magari machache na traffic wachache hivyo unafungua a tu, hamadi Kuna daladala ananichomekea, kushika break nimpishe yaani ni upepo Hadi mwisho was pedal. Breki hamna, nilipanick vibaya mnooo, lakini nilivyo maneuver kupita Kati Kati ya magari ni mungu tu Mana sikujiona Nina skills hizo, uzuri mbele unashuka mteremko halafu Kuna kilika kibwa hivi, nikacheza na gia Hadi moja, kwenye kupanda kilima gari ikapunguza speed Hadi nikaipaki diagonal ikasimama. Nikashusha pumzi Kama do 40 ivu, Kisha nakaanza Sasa kuisereresha kilima kutudi huku nacheza na gia, taratibu nkamaliza lami ile nainguia vumbi majembe hao, walikua na tenda ya kukamata magari yasiyo na bima na road license, gari Haina breki kusimama siezi nikaunga mbele kwa mbele wakanifata na toyo mi narnda taratibu tu Mana Sina breki tunaongea kabisa, nawaambia gari halina breki imekata nasereresha Hadi nyumbani, nilipofika nyumbani nikatafuta mwinuko nikapaki diagonal fasta nikashuka nikatia jiwe wakanimaind Sana na ukijumlisha Sina road license Sina bima yani ilikua noma, ila niliwaza 20 walikua wawili, nikawaambia mkizungua hate hiyo twenty hampati Mana gari nimepaki ni mbovu, ile gari sikuendesha Tena Hadi leo, nilikua kuiza Bei Chee sana
Dah! Hatari sana
 
Traffic alinisimamisha akataka chochote nikamwambia nina buku 5 tu ya lunch,akaniambia yote hiyo ule pekee yako wengine tule wapi ebu lete nikaipasue.

Nikajua utani akaichukua kweli akaenda kwa mwenzie kwenye defender ghafla akarudi na buku 2 jero akanipa.Nikaishia kucheka tu,mie huyoo nikaendelea zangu..
Hahaha wale jamaa ni ng'ombeee, me nishawahi kusimamishwa tuka negotiate mpaka buku mbili bahati mbaya pia sikuwa nayo nikaanza kuhesabu na kuokota mia mia na mia mbili mpaka zikafika buku na mia mbili jamaa bila nishai akasepa nazo.
 
Mwaka 2001 nilikuwa ndani ya Hice "public transport" ikiwa natokea Wilayani Kahama naelekea Kakola. Tulipo fika kijiji cha Lunguya, gari nilivyo panda ikiwa imesimama barabarani ikishusha abiria, nikishuhudia Mvua kubwa ikinyesha upande mmoja wa barabara na upande mwingine ikiwa hainyeshi na ardhi ni kavu kabisa.....
Hili jambo lilinishangaza sana hakika

Alafu... Sijui kwanini tu nimechangia kwenye huu Uzi, maana naona wachangiaji wote wanamiliki mikebe Daslam...
Kakola Hoyee 😀😁😂😅😄😄
 
Pale trafiki aliponiomba rushwa ya tsh 10000... Nikamkubalia akaniambia niende mbele kidogo Nidondoshe chini.... Nilipofika mbele nikadondosha ganda la pipi (big boom) nikatembea... Nahisi yule trafiki aliacha njia Ile ya kupokea rushwa
 
Ya kweli hii?
Mwaka 2001 nilikuwa ndani ya Hice "public transport" ikiwa natokea Wilayani Kahama naelekea Kakola. Tulipo fika kijiji cha Lunguya, gari nilivyo panda ikiwa imesimama barabarani ikishusha abiria, nikishuhudia Mvua kubwa ikinyesha upande mmoja wa barabara na upande mwingine ikiwa hainyeshi na ardhi ni kavu kabisa.....
Hili jambo lilinishangaza sana hakika

Alafu... Sijui kwanini tu nimechangia kwenye huu Uzi, maana naona wachangiaji wote wanamiliki mikebe Daslam...
 
Salaam
Vyombo vya usafiri tunavitumia kutusaidia kutoka sehemu A kwenda B hivyo ni sehemu ya maisha yetu ya kila siku, lakini pia vyombo hivi vinahitaji umakini wa hali ya juu sana uwapo barabarani kwani kosa moja linaweza kupelekea umauti, kilema, uharibifu au hata kupata kesi.

Pia muda mwengine unaweza kujitahidi kuwa makini sana katika uendeshaji wako lakini akatokea mtu tu akakosa umakini na kukusababishia matatizo, lakini pia yapo matatizo ya kiufundi yanaweza yakajitokeza na kusababisha ajali na dhahama.

Wapo wanaotukanwa au kutukanwa barabarani, wapo wanaopigana kisa uzembe wa barabarani, wapo waliopigwa risasi au kutishiwa kisa makosa ya ki uendeshaji na pia wapo wanaojikuta safari yao inakuwa chungu kutokana na jambo linalowakuta barabarani.

Uzi huu ni maalum kwa mikasa ya barabarani na kama limekukuta tueleze iwe kama somo kwa wengine, si lazima uwe na gari inaweza kuwa pikipiki, bajaji, na hata kama wewe ni abiria pia share yaliyo kukuta. View attachment 1262811
Tena nilikuwa bado learner wakati huo, kwa wenyeji wa Mwanza kona ya Aspen hotel kwenda mlango mmoja niliigonga daladala ubavu, kelele zilizopigwa na wale abiria ndani ya daladala nilijua nimeua, kumbe walaa! Niliwashukuru sana dereva na konda wake walikuwa ni wastaarabu sana pamoja na kuwagonga but walinisaidia sana kutuliza hasira za wananchi wenye hasira zao na wala hawakutaka iwe traffic case
 
Hahaha wale jamaa ni ng'ombeee, me nishawahi kusimamishwa tuka negotiate mpaka buku mbili bahati mbaya pia sikuwa nayo nikaanza kuhesabu na kuokota mia mia na mia mbili mpaka zikafika buku na mia mbili jamaa bila nishai akasepa nazo.
Hawaachi hela wale,hawana tofauti na machinga.
 
Tena nilikuwa bado learner wakati huo, kwa wenyeji wa Mwanza kona ya Aspen hotel kwenda mlango mmoja niliigonga daladala ubavu, kelele zilizopigwa na wale abiria ndani ya daladala nilijua nimeua, kumbe walaa! Niliwashukuru sana dereva na konda wake walikuwa ni wastaarabu sana pamoja na kuwagonga but walinisaidia sana kutuliza hasira za wananchi wenye hasira zao na wala hawakutaka iwe traffic case
Ukute Na dereva na konda na gari lao hawakua wamekamilika so hawakutaka mambo yawe mengi
 
Ukute Na dereva na konda na gari lao hawakua wamekamilika so hawakutaka mambo yawe mengi
Walikuwa wamekamilika, baada ya lile tukio walimpigia boss wao simu akaja, boss alipofika akasema ooh kumbe nimegongwa na mdada, tulitoka pale tukaenda gereji, boss akaniambia utagharimia kunyoosha tu ila rangi nitagharimia mimi, baada ya kupata gharama na mimi sasa ndio nikamtafuta boss wangu (mume)😅😅 boss nimegonga huku.....tuko gereji fulani njoo
 
Walikuwa wamekamilika, baada ya lile tukio walimpigia boss wao simu akaja, boss alipofika akasema ooh kumbe nimegongwa na mdada, tulitoka pale tukaenda gereji, boss akaniambia utagharimia kunyoosha tu ila rangi nitagharimia mimi, baada ya kupata gharama na mimi sasa ndio nikamtafuta boss wangu (mume) boss nimegonga huku.....tuko gereji fulani njoo
Sawa sawa kabisa.
 
Walikuwa wamekamilika, baada ya lile tukio walimpigia boss wao simu akaja, boss alipofika akasema ooh kumbe nimegongwa na mdada, tulitoka pale tukaenda gereji, boss akaniambia utagharimia kunyoosha tu ila rangi nitagharimia mimi, baada ya kupata gharama na mimi sasa ndio nikamtafuta boss wangu (mume) boss nimegonga huku.....tuko gereji fulani njoo
Bc iyo ilikua bahati yako tu ila saa zngne wananchi wanapenda kupanick kwa vitu vya ajabu sana na ukute wala hawajaumia
 
jana bwana mitaa ya melela trafiki kanikamata gari haina tatizo ananiuliza hujakaguliwa huko kote nikamwambia niko full nikamuonesha triangle na fire extinguisher nimeziweka siti ya mbele akaniambia sijala nikampa elfu 3 nikasepa alafu alikua wakike nusura niombe namba manake akawa ananiuliza naenda wapi
 
Back
Top Bottom