LD
JF-Expert Member
- Aug 19, 2010
- 3,014
- 574
Yani unaweza ukajikuta unakosa amani moyoni, ukifikiria ulicho kifanya hukioni!!! Lakini moyo umeinama, huna furaha, yani hujachangamka kwa ujumla.
Lakini ukiangalia umekosea wapi huoni, ukijiuliza sasa kwa nini unakuwa hivi hupatati jibu. Unaweza ukatamani hata kukaa tu mahali peke yako.....hutaki kuongea ongea ingawa wewe ni muongeaji sana. Yani dah unakuwa upo upo tu.......
Hebu nambieni hali kama hii imewahi kukupata, kama ndiyo unafanya nini ili iondoke.
Lakini ukiangalia umekosea wapi huoni, ukijiuliza sasa kwa nini unakuwa hivi hupatati jibu. Unaweza ukatamani hata kukaa tu mahali peke yako.....hutaki kuongea ongea ingawa wewe ni muongeaji sana. Yani dah unakuwa upo upo tu.......
Hebu nambieni hali kama hii imewahi kukupata, kama ndiyo unafanya nini ili iondoke.