Mzigua90
JF-Expert Member
- Sep 23, 2014
- 38,256
- 88,206
Tushagombana mwenzio alotuamulia keshajishindia tayari
Mi niliamulia ugomvi wa gelofriendi wangu na shosti yake enzi hizo. Baada ya wiki mbili shosti wa gelofriendi wangu akanizawadia papuchi kama shukrani ya wema wangu.
Tangu siku hiyo niko makini sana kufuatilia gomvi za jinsia KE. Huwezi jua mipango ya shetani, naweza nikalamba bingo tena
Mzigua90 na Shunie mtagombana lini nije niwaamulie?