sanalii
JF-Expert Member
- Oct 1, 2018
- 1,434
- 5,096
1. Nilifaulu nipangiwa mkoa kilimanjaro, nyumba ya ubalozi niliofikia kulikua na mfanyakazi wa ndani anatokea Tanga, Kwakua sikuwa na uzoefu sana jinsi alivyojua ananionesha nikajua ananipenda.
Siku moja usiku sana wote washalala nokapwandwa na ashk majnun, nikaamua niende nikamgongee chumbani kwake, alikua analala pekeake.
Nimefika mlangoni pale kila nikitaka kugonga moyo unasita, nilikaa kama dk tatu au tano pale mpangoni, akili ikanituma niondoke tu. Basi nikaondoka kwenda kulala.
Haikupita hata wiki nikagundua yule binti hanikubali hata kidogo, na kama ningegonga huenda angepiga kelele, ingekua ni aibu ya kiukoo, sijui ningeficha wapi sura yangu.
2. Nilikua nahitaji Laptop, nikaangalia kupatana nikakuta kuna seller anajiita “Zanzibar West”, anapost PC za HP nzuri pavilion, af bei laki nne na nusu, wakati specifications za pc nI kubwa.
Nikampigia simu kuwa naipagaje? Akasema anatuma kwenye boat ya Azam, nikatoka kwenye kwa wakala nitume, kufika wakala hana kiasi hicho cha fedha na hakuna wakala mwengine karibu, nikaamua nirudi geto na maana usikua Baadae nikakuta post ya jamaa akilalamika kuwa katuma pesa hajapokea mzigo aah akili ndo ikanijia kuwa huyu ni tapeli
Ni chupuchupu
3. Nilivaa nguo, nikaona kama kuna ubaridi hivi, kisaamua kuivua fasta, kuja kucheck ni kipande cha tandu mkubwa sana, mpaka leo siwezi weka nguo mwilini bila kuikung’uta hata niite wapi.
Ni chupuchupu
Siku moja usiku sana wote washalala nokapwandwa na ashk majnun, nikaamua niende nikamgongee chumbani kwake, alikua analala pekeake.
Nimefika mlangoni pale kila nikitaka kugonga moyo unasita, nilikaa kama dk tatu au tano pale mpangoni, akili ikanituma niondoke tu. Basi nikaondoka kwenda kulala.
Haikupita hata wiki nikagundua yule binti hanikubali hata kidogo, na kama ningegonga huenda angepiga kelele, ingekua ni aibu ya kiukoo, sijui ningeficha wapi sura yangu.
2. Nilikua nahitaji Laptop, nikaangalia kupatana nikakuta kuna seller anajiita “Zanzibar West”, anapost PC za HP nzuri pavilion, af bei laki nne na nusu, wakati specifications za pc nI kubwa.
Nikampigia simu kuwa naipagaje? Akasema anatuma kwenye boat ya Azam, nikatoka kwenye kwa wakala nitume, kufika wakala hana kiasi hicho cha fedha na hakuna wakala mwengine karibu, nikaamua nirudi geto na maana usikua Baadae nikakuta post ya jamaa akilalamika kuwa katuma pesa hajapokea mzigo aah akili ndo ikanijia kuwa huyu ni tapeli
Ni chupuchupu
3. Nilivaa nguo, nikaona kama kuna ubaridi hivi, kisaamua kuivua fasta, kuja kucheck ni kipande cha tandu mkubwa sana, mpaka leo siwezi weka nguo mwilini bila kuikung’uta hata niite wapi.
Ni chupuchupu