Umewahi kuingilia ugomvi usiokuhusu halafu yakakukuta makubwa?

Tushagombana mwenzio alotuamulia keshajishindia tayari
Mi niliamulia ugomvi wa gelofriendi wangu na shosti yake enzi hizo. Baada ya wiki mbili shosti wa gelofriendi wangu akanizawadia papuchi kama shukrani ya wema wangu.

Tangu siku hiyo niko makini sana kufuatilia gomvi za jinsia KE. Huwezi jua mipango ya shetani, naweza nikalamba bingo tena

Mzigua90 na Shunie mtagombana lini nije niwaamulie?
 
Hahahahaaa
Mkuu umenikumbusha miaka 8 iliyopita, ilikuwa mdogo wangu anapokea kipondo kutoka kwa baunsa flani kwa kumtusi mke wake basi mm kuona mdogo wangu anapokea kipondo nikaumia sana na kama ujuavyo "damu nzito kuliko maji" , si ndo nikajitosa ulingoni kumpiga tafu dogo ili baunsa tumchape kwa ushirika!! Ile napanda tu ulingoni kupiga tafu basi dogo akarudi benchi na kuniachia msala ulingoni.. Kipigo nilicho pokea anajua muumbaji. Ila sikujutia kumtetea dogo japo nae nilim-mind balaa.!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu umenikumbusha miaka 8 iliyopita, ilikuwa mdogo wangu anapokea kipondo kutoka kwa baunsa flani kwa kumtusi mke wake basi mm kuona mdogo wangu anapokea kipondo nikaumia sana na kama ujuavyo "damu nzito kuliko maji" , si ndo nikajitosa ulingoni kumpiga tafu dogo ili baunsa tumchape kwa ushirika!! Ile napanda tu ulingoni kupiga tafu basi dogo akarudi benchi na kuniachia msala ulingoni.. Kipigo nilicho pokea anajua muumbaji. Ila sikujutia kumtetea dogo japo nae nilim-mind balaa.!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
Ulichokitaka ulikipata mkuu
 
Kuna mpangaji mwenzangu ana mke na mtoto mmoja nahisi ni wa miaka minne yule mtoto.

Jamaa shughuli zake ni ufundi, kwahiyo akitoka kurudi usiku sana. Siku hiyo kawahi kurudi akakuta mkewe kapakatwa na kinyozi mmoja hivi barabarani. Jamaa hakuongea kitu.

Alfajiri ya saa 10 kelele za 'Nakufaaaaa' zikaanza. Mimi nakaa chumba cha nje miongoni mwa vyumba vitatu vya nje hawa mke na mume wanakaa vyumba vya ndani.
Hadi uingie ni lazima ufunguliwe mlango.

Basi washkaji wa vyumba vitatu wote tumetoka tunamsihi jamaa amuache binti. Huku tukwapigia kelele wa vyumba vingine wafungue. Mmoja wetu akaenda dirisha la mwenye nyumba ili afungue mlango.

Nikaona wanachelewa nikaanza kupiga mateke mlango. Bwana muvi zinadanganya kumbe mlango ni mgumu baada ya mateke kama nane nikaona nitajivunja nisubiri kwanza.
Mwenye nyumba akafungua mlango nikatangulai kufika mlango wa chumba cha jamaa. Kama kawaida yangu mateke tu, nabadilisha miguu tu.

Yule jamaa alivyofungua mlango akatoka ni kisu akanichana kwenye triceps kidogo coz niliwahi kutoa mkono. Binti akapata upenyo wa kukimbia mi nikamtight mshkaji akanyang'anywa kisu.

Mchana nimelala nagongewa na watu kama wanne natoka askari kanzu watatu, mmoja ana sare na yule jamaa. Jamaa anadai nimempiga asubuhi. Nikabebwa hadi kituo kidogo.

Mwisho askari wakasema ok huna kosa unatuachaje? Ikanitoka 20K narudi nyumbani mwenye nyumba ananiambia mateke yangu yamemharibia milango hivyo natakiwa nigharamie ama milango mipya au ile iboreshwe.

Mie hoi.
Duuuu jamaa we unamatukio mengine yanachekesha, mengine yanahuzunisha ila pole kwa hili
 
Siku moja nipo ofisini. Kuna binti anarushia watu chupa obviously ilitakiwa azuiliwe kabla sijamfikia mlinzi mwenzangu akawa kashamfikia kambeba yule binti anaenda kumtoa nje.

Bwana ake akamkwida mlinzi mwenzangu huku anatukana "M**nge ku****ako unaingilia ugomvi wa mademu si uwaache wapigane?" Mimi nikamtight jamaa tukatoka hadi nje.

Jamaa brazamen tu kavaa jinzi inabana nyeupe fulana nyeupe kapelo nyeusi na converse nyekundu. Demu wake katia gauni fupi jeusi kama sundress hivi.

Kwahiyo hawakuonyesha kama ni threat kivyovyote. Yule mlinzi mwenzangu akaanza kumpaka jamaa "We ku*a tu nikiamua nato**ba wewe na huyo demu" mimi hapo namwambia mshkaji "Hoya jikatae hatutaki washamba wa starehe humu"

Mshkaji akajibu "Nyi was**nge tu, miili tu hiyo hamna kitu" hapo watu washajaa tayari.

Tukamwambia jaribu kutugusa basi.

Akageuka akaenda kwenye gari alivyorudi akachomoa pistol akaionyeshea upande wetu.
Hata sielewei ilikuaje nikajikuta nimeganda sauti haitoki mshkaji wangu kashapiga magoti mikono juu.

Binti akaanza "Was*nge nyinyi kelele nyingi mbona mpo kimya?" Kwa unyonge nikafunguka "Dada tafadhali mwambie braza atusamehe"

Mara kaja supavaiza akamplease jamaa akamuelewa yule supavaiza, akaingia kwenye ndinga akasepa.
Hahaha ila unapenda kuwashwa washwa
 
Niko form two naelekea shule kuna washkaji wanne wakawa wanataka kupanda gari konda anawazuia. Ugomvi ukalipuka na mimi nikaunga kwenye ugomvi..

Washkaji hawanijui siwajui. Tukamtembezea kichapo konda safi kabisa.

Safari inaendelea ndani ni kutemeana maneno ya shombo tu akatuambia subirini mtanielewa tu.

Gari kufika Tandale Kwa Mtogole. Konda akashuka akaanza kuita "Sele Bujeeee, wee Sele Bujeeee njoo huku" dereva akawasha gari akaanza kuondoka akawa kama hataki ile ishu. Konda akadandia gari.

Sele Buje akadandia carrier ya nyuma ya gari, kituo cha Sweet Corner watu wakashuka Sele Buje akaingia ndani kwenye gari.
Ana muonekano wa kibabe knuckles zimechacha vibaya.

Anamuuliza konda "Nani analeta vurugu?" Konda katuonyeshea sisi, akaanza kutusogelea. Mimi hapo nakokotoa namna gani naweza kuruka kutoka dirishani nitue kwenye lami bila kugongwa kisha nikimbilie mitaa ya Manzese.

Hesabu hazijakaa sawa. Sele Buje kafika tu anakutana na dogo kutoka wale wanne wanasalimiana "Master vipi?" Sele buje anajibu "Shwari mbona mnakua wakorofi?" Dogo anajibu "Tumechelewa master sasa jamaa akawa anatuzuia ndiyo tukalazimisha kuingia"

Sele Buje akamgeukia konda "Hawa wadogo zetu bwana hawana shida"

Turns out Sele Buje alikua ni mwalimu wa boxing wa yule dogo.

Ila nilitetemeshwa sana.
 
Siku moja nipo ofisini. Kuna binti anarushia watu chupa obviously ilitakiwa azuiliwe kabla sijamfikia mlinzi mwenzangu akawa kashamfikia kambeba yule binti anaenda kumtoa nje.

Bwana ake akamkwida mlinzi mwenzangu huku anatukana "M**nge ku****ako unaingilia ugomvi wa mademu si uwaache wapigane?" Mimi nikamtight jamaa tukatoka hadi nje.

Jamaa brazamen tu kavaa jinzi inabana nyeupe fulana nyeupe kapelo nyeusi na converse nyekundu. Demu wake katia gauni fupi jeusi kama sundress hivi.

Kwahiyo hawakuonyesha kama ni threat kivyovyote. Yule mlinzi mwenzangu akaanza kumpaka jamaa "We ku*a tu nikiamua nato**ba wewe na huyo demu" mimi hapo namwambia mshkaji "Hoya jikatae hatutaki washamba wa starehe humu"

Mshkaji akajibu "Nyi was**nge tu, miili tu hiyo hamna kitu" hapo watu washajaa tayari.

Tukamwambia jaribu kutugusa basi.

Akageuka akaenda kwenye gari alivyorudi akachomoa pistol akaionyeshea upande wetu.
Hata sielewei ilikuaje nikajikuta nimeganda sauti haitoki mshkaji wangu kashapiga magoti mikono juu.

Binti akaanza "Was*nge nyinyi kelele nyingi mbona mpo kimya?" Kwa unyonge nikafunguka "Dada tafadhali mwambie braza atusamehe"

Mara kaja supavaiza akamplease jamaa akamuelewa yule supavaiza, akaingia kwenye ndinga akasepa.
 
2006 kuna mwanangu wa dhahabu (R.I.P hommie) alikua anapiga kazi kwenye supermarket ya wazungu sasa mazoea ya utoto wa mtaani mwanangu ikawa daily anakwara bidhaa fulani muhimu anatuletea wanae maskani iwe bure au kwa bei ya chini ikawa neema kwetu kuliko maelezo,kumbe kuna mkolombwe mmoja alikua anapiga nae kazi akashtukia mchezo,siku mwana kavusha mzigo yule jamaa na mwenzie wakamtaiti nje tu ya ofisi wakampa option ya kuachiwa mzigo au wakaseme kwa watasha mwana aka-surrender akawapa mzigo walivyo wakuda wakampa kibano kikali sana na vitisho juu.
Basi swahiba kaibuka uswazi akatupa mkasa huwezi amini watu 4 tukasema kesho tuna dili na uyo bwege kweli tukaibuka super-market tukasubiri anachomoka na sisi tukazama nae kwenye daladala iyo iyo basi kushtuka jamaa kashuka Mtogole pale nasi tukashuka hatukumsogeza mbali tukampa kibano tukiwa na swahiba wetu kumbe yule mbwee kwao sio mbali si akapiga kelele za wezi wananiua sijui maraia walitokea wapi ila nilijiona nina kundi la watu nyuma yangu wana jazba haswaaaa na mitaa siijui nikazama kwenye jumba bovu moja nikapokelewa na wahuni wanakula kaya uku wanacheza kamari ile wakanituliza tayari raia wako nje jamaa wakaniuliza kulikoni nikawapa mkasa basi mtabe 1 akatoka kuwasambaratisha raia nikatulizwa kama saa 1 mle ndani wakaniambia unaelekea wapi usindikizwe duh huwezi amini niliwacheulia wale jamaa mapene yangu yote nikabaki na nauli kwa shukrani wakanipitisha vichochoroni mpaka kituo kingine nakadandia chuma mpaka home,uwoga ukawa kusema kuhusu wale wenzangu ila nashukuru mpaka kufika usiku wote tulikua salama ingawa kila mtu alitimkia kwake.
najuta kupitia huu uzi,sio kwa kucheka huku
 
nakumbuka mwaka 2013 life la chuo na ujana damu inachemka kila weekend club..

tulikuwa washkaj watatu mimi gatsby..bruno..na masai mmoja tulikuwa tunamuita pede

tumekula bia za kutosha pale Club Wantansh kwa nje mida ya saa saba na nusu usiku tukasema ngoja tuzame ndani kubambia na ikiwezekana kung'oa wadada wa masaki (maana kama mara mbili mimi na bruno tulitunukiwa na wadada wakubwa wakubwa kiumri baada ya kudance nao)

ile tumezama ndani tukaanza kucheza huku tunaendelea kula bia ikafika mida ya saa 8 na nusu yule mwenzetu masai pede akazima tukamuweka kwenye sofa sisi tukaendelea kula maisha

gafla tunaenda kumchek tunakuta anakula mate na lishoga jamaa hajielewi hapo anajua kaopoa demu nikamwita bruno tukaenda pale cha kwanza hatujauliza tukampa yule shoga vibao vya maana ..akasepa

gafla karudi na mashoga wenzake kama sita wametujalia pale kwenye sofa wanaanzisha utata mmoja akasema au mnamuonea gere mwenzenu na nyie mnataka au? gafla akamrukia bruno akambusu mdomon mamaaeee akaachia bonge la ngumi yule shoga chali

hata mabaunsa walipotokea wakaanza kutupa za chemba mimi na bruno wakatubeba juu juu wakaenda kututupa nje hapo tumechezea za uso tumevimba

kumbe bwana meneja wa pale wantanshi anapenda mashoga yawepo mule ndan ili kuvutia wazungu waje pale...

kesho yake hatukwenda chuo maana bado tulikuwa tumevimba yule maasai pede tunamsimulia kisa kilichofanya tupigwe anabisha eti kuwa ajaliwa mate na shoga

anasema aseee nyie jamaa makorofii sana jana itakuwa mmepata wababe yenu imewaonesa kazi
Hahahahahahahahahahaaa
 
Siku moja nipo ofisini. Kuna binti anarushia watu chupa obviously ilitakiwa azuiliwe kabla sijamfikia mlinzi mwenzangu akawa kashamfikia kambeba yule binti anaenda kumtoa nje.

Bwana ake akamkwida mlinzi mwenzangu huku anatukana "M**nge ku****ako unaingilia ugomvi wa mademu si uwaache wapigane?" Mimi nikamtight jamaa tukatoka hadi nje.

Jamaa brazamen tu kavaa jinzi inabana nyeupe fulana nyeupe kapelo nyeusi na converse nyekundu. Demu wake katia gauni fupi jeusi kama sundress hivi.

Kwahiyo hawakuonyesha kama ni threat kivyovyote. Yule mlinzi mwenzangu akaanza kumpaka jamaa "We ku*a tu nikiamua nato**ba wewe na huyo demu" mimi hapo namwambia mshkaji "Hoya jikatae hatutaki washamba wa starehe humu"

Mshkaji akajibu "Nyi was**nge tu, miili tu hiyo hamna kitu" hapo watu washajaa tayari.

Tukamwambia jaribu kutugusa basi.

Akageuka akaenda kwenye gari alivyorudi akachomoa pistol akaionyeshea upande wetu.
Hata sielewei ilikuaje nikajikuta nimeganda sauti haitoki mshkaji wangu kashapiga magoti mikono juu.

Binti akaanza "Was*nge nyinyi kelele nyingi mbona mpo kimya?" Kwa unyonge nikafunguka "Dada tafadhali mwambie braza atusamehe"

Mara kaja supavaiza akamplease jamaa akamuelewa yule supavaiza, akaingia kwenye ndinga akasepa.
Hahahahahahhahaaaaaaa, usicheze na cha moto, sipati picha, Kojo halikutoka?
 
Kweli tena mzee baba alafu mtu mwenyewe me mwepesi kama karatasi kama atakua na ngumi nzito nzito sijui itakuaje, kama hutaudhuria tamala hilo.
Hahaha ningekuja ila siku hizi hayo siyo mambo yangu tena
 
9 Reactions
Reply
Back
Top Bottom