Masodas
Member
- Jun 4, 2018
- 39
- 35
Wewe jamaaa umefanya j.mosi yangu iwe nzuriSasa natakiwa kwenda Kigamboni asubuhi nikawa nipo Mwananyamala A nasubiri gari la Stesheni upande wa pili namuona yule mshkaji.
Mshkaji kuniona akaanza kukimbia, sijui ujinga niliutoa wapi, nikamuunganishia bwana.
Nikaenda kumkamata pale shule ya Kisiwani. Basi ile kumfikia na kumshika tu jamaa kilimtoka kichwa hiko kikatua moja kwa moja kwenye paji la uso.
Bado mawenge yamenivaa nashangaa nipo chini, kumbe nimekula mtama.
Ghafla jamaa yuko juu anapeleka mikono mvururu usoni, hapo naomba Mungu wasamaria waje. Wakaja kumtoa nipo chini hoi shenzi mimi.
Nyumbani tulipofika hatukuongeleshana.
Huo ugomvi namba moja.
Asantee kwa hadithi yako nzuri
Sent using Jamii Forums mobile app