Umewahi kuingilia ugomvi usiokuhusu halafu yakakukuta makubwa?

Sasa natakiwa kwenda Kigamboni asubuhi nikawa nipo Mwananyamala A nasubiri gari la Stesheni upande wa pili namuona yule mshkaji.
Mshkaji kuniona akaanza kukimbia, sijui ujinga niliutoa wapi, nikamuunganishia bwana.

Nikaenda kumkamata pale shule ya Kisiwani. Basi ile kumfikia na kumshika tu jamaa kilimtoka kichwa hiko kikatua moja kwa moja kwenye paji la uso.
Bado mawenge yamenivaa nashangaa nipo chini, kumbe nimekula mtama.

Ghafla jamaa yuko juu anapeleka mikono mvururu usoni, hapo naomba Mungu wasamaria waje. Wakaja kumtoa nipo chini hoi shenzi mimi.

Nyumbani tulipofika hatukuongeleshana.

Huo ugomvi namba moja.
Wewe jamaaa umefanya j.mosi yangu iwe nzuri
Asantee kwa hadithi yako nzuri

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Niko form two naelekea shule kuna washkaji wanne wakawa wanataka kupanda gari konda anawazuia. Ugomvi ukalipuka na mimi nikaunga kwenye ugomvi..

Washkaji hawanijui siwajui. Tukamtembezea kichapo konda safi kabisa.

Safari inaendelea ndani ni kutemeana maneno ya shombo tu akatuambia subirini mtanielewa tu.

Gari kufika Tandale Kwa Mtogole. Konda akashuka akaanza kuita "Sele Bujeeee, wee Sele Bujeeee njoo huku" dereva akawasha gari akaanza kuondoka akawa kama hataki ile ishu. Konda akadandia gari.

Sele Buje akadandia carrier ya nyuma ya gari, kituo cha Sweet Corner watu wakashuka Sele Buje akaingia ndani kwenye gari.
Ana muonekano wa kibabe knuckles zimechacha vibaya.

Anamuuliza konda "Nani analeta vurugu?" Konda katuonyeshea sisi, akaanza kutusogelea. Mimi hapo nakokotoa namna gani naweza kuruka kutoka dirishani nitue kwenye lami bila kugongwa kisha nikimbilie mitaa ya Manzese.

Hesabu hazijakaa sawa. Sele Buje kafika tu anakutana na dogo kutoka wale wanne wanasalimiana "Master vipi?" Sele buje anajibu "Shwari mbona mnakua wakorofi?" Dogo anajibu "Tumechelewa master sasa jamaa akawa anatuzuia ndiyo tukalazimisha kuingia"

Sele Buje akamgeukia konda "Hawa wadogo zetu bwana hawana shida"

Turns out Sele Buje alikua ni mwalimu wa boxing wa yule dogo.

Ila nilitetemeshwa sana.
Hahaha sele buje noma
 
Kuna siku nipo Ferry Kigamboni kuna muuza madafu akiwa na baiskeli akamgonga binti mmoja hivi, huyo binti hatuna hata stori ila tulikua tunaonana onana tu.

Muuza madafu akapaniki anasema yeye ndiyo kagongwa asizinguliwe. Binti naye matusi yanamtoka mshkaji anamtambia anamwambia niguse kama unaweza.

Mimi kama kawaida.

Nikaiingilia ile show. Nikaanza kumtukana kua anataka ugomvi na mabinti wakati wanaume tupo, jamaa akanifuata huku kaniinamishia kichwa halafu anasema

"Piga basi" "Haya piga"

Mi nikawa narudi nyuma kama najihami akamalizia "Ms*nge unalilia mk**undu unagewa unashindwa kuuf*ra?"

Nikaona hii imevuka mpaka nikapeleka kibao jamaa akainama akakimbilia kwenye baiskeli yake. Kumbe wauza madafu wanakuaga na sime bwana akili ikaja kujua hilo muda huo namuona njemba ananikimbilia kisu kipo juu.

Nikaona isiwe shida nikatoka nduki, jamaa huyu hapa kazana jamaa huyu hapa.

Nikaona huyu boya atanitoa utumbo.

Hivi unajua mtu anaweza kuogelea kwa mkono mmoja mwingine akawa kashikilia nguo au simu? Ndiyo kilichotokea hiko.

Chubwii kwenye maji mkono mmoja umeshikilia Tecno mwingine napiga mbizi. Yule boya naona kashika kisu ananitamaaani.

Anyway yule binti tukakutana maeneo ya nyumbani ile incidence kama alihadithia basi watu walivumilia kuja kunicheka.
mwanangu stor zako umenkumbusha stori za baba ubaya enz hzoo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Niko form two naelekea shule kuna washkaji wanne wakawa wanataka kupanda gari konda anawazuia. Ugomvi ukalipuka na mimi nikaunga kwenye ugomvi..

Washkaji hawanijui siwajui. Tukamtembezea kichapo konda safi kabisa.

Safari inaendelea ndani ni kutemeana maneno ya shombo tu akatuambia subirini mtanielewa tu.

Gari kufika Tandale Kwa Mtogole. Konda akashuka akaanza kuita "Sele Bujeeee, wee Sele Bujeeee njoo huku" dereva akawasha gari akaanza kuondoka akawa kama hataki ile ishu. Konda akadandia gari.

Sele Buje akadandia carrier ya nyuma ya gari, kituo cha Sweet Corner watu wakashuka Sele Buje akaingia ndani kwenye gari.
Ana muonekano wa kibabe knuckles zimechacha vibaya.

Anamuuliza konda "Nani analeta vurugu?" Konda katuonyeshea sisi, akaanza kutusogelea. Mimi hapo nakokotoa namna gani naweza kuruka kutoka dirishani nitue kwenye lami bila kugongwa kisha nikimbilie mitaa ya Manzese.

Hesabu hazijakaa sawa. Sele Buje kafika tu anakutana na dogo kutoka wale wanne wanasalimiana "Master vipi?" Sele buje anajibu "Shwari mbona mnakua wakorofi?" Dogo anajibu "Tumechelewa master sasa jamaa akawa anatuzuia ndiyo tukalazimisha kuingia"

Sele Buje akamgeukia konda "Hawa wadogo zetu bwana hawana shida"

Turns out Sele Buje alikua ni mwalimu wa boxing wa yule dogo.

Ila nilitetemeshwa sana.
hahahahahaaa eti Sele Buje,,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna mpangaji mwenzangu ana mke na mtoto mmoja nahisi ni wa miaka minne yule mtoto.

Jamaa shughuli zake ni ufundi, kwahiyo akitoka kurudi usiku sana. Siku hiyo kawahi kurudi akakuta mkewe kapakatwa na kinyozi mmoja hivi barabarani. Jamaa hakuongea kitu.

Alfajiri ya saa 10 kelele za 'Nakufaaaaa' zikaanza. Mimi nakaa chumba cha nje miongoni mwa vyumba vitatu vya nje hawa mke na mume wanakaa vyumba vya ndani.
Hadi uingie ni lazima ufunguliwe mlango.

Basi washkaji wa vyumba vitatu wote tumetoka tunamsihi jamaa amuache binti. Huku tukwapigia kelele wa vyumba vingine wafungue. Mmoja wetu akaenda dirisha la mwenye nyumba ili afungue mlango.

Nikaona wanachelewa nikaanza kupiga mateke mlango. Bwana muvi zinadanganya kumbe mlango ni mgumu baada ya mateke kama nane nikaona nitajivunja nisubiri kwanza.
Mwenye nyumba akafungua mlango nikatangulai kufika mlango wa chumba cha jamaa. Kama kawaida yangu mateke tu, nabadilisha miguu tu.

Yule jamaa alivyofungua mlango akatoka ni kisu akanichana kwenye triceps kidogo coz niliwahi kutoa mkono. Binti akapata upenyo wa kukimbia mi nikamtight mshkaji akanyang'anywa kisu.

Mchana nimelala nagongewa na watu kama wanne natoka askari kanzu watatu, mmoja ana sare na yule jamaa. Jamaa anadai nimempiga asubuhi. Nikabebwa hadi kituo kidogo.

Mwisho askari wakasema ok huna kosa unatuachaje? Ikanitoka 20K narudi nyumbani mwenye nyumba ananiambia mateke yangu yamemharibia milango hivyo natakiwa nigharamie ama milango mipya au ile iboreshwe.

Mie hoi.
hahahahah,, dah yan apo kwnye kubadilisha miguu kupiga mateke mlago km kwny muvi mm hoiiii

Sent using Jamii Forums mobile app
 
2006 kuna mwanangu wa dhahabu (R.I.P hommie) alikua anapiga kazi kwenye supermarket ya wazungu sasa mazoea ya utoto wa mtaani mwanangu ikawa daily anakwara bidhaa fulani muhimu anatuletea wanae maskani iwe bure au kwa bei ya chini ikawa neema kwetu kuliko maelezo,kumbe kuna mkolombwe mmoja alikua anapiga nae kazi akashtukia mchezo,siku mwana kavusha mzigo yule jamaa na mwenzie wakamtaiti nje tu ya ofisi wakampa option ya kuachiwa mzigo au wakaseme kwa watasha mwana aka-surrender akawapa mzigo walivyo wakuda wakampa kibano kikali sana na vitisho juu.
Basi swahiba kaibuka uswazi akatupa mkasa huwezi amini watu 4 tukasema kesho tuna dili na uyo bwege kweli tukaibuka super-market tukasubiri anachomoka na sisi tukazama nae kwenye daladala iyo iyo basi kushtuka jamaa kashuka Mtogole pale nasi tukashuka hatukumsogeza mbali tukampa kibano tukiwa na swahiba wetu kumbe yule mbwee kwao sio mbali si akapiga kelele za wezi wananiua sijui maraia walitokea wapi ila nilijiona nina kundi la watu nyuma yangu wana jazba haswaaaa na mitaa siijui nikazama kwenye jumba bovu moja nikapokelewa na wahuni wanakula kaya uku wanacheza kamari ile wakanituliza tayari raia wako nje jamaa wakaniuliza kulikoni nikawapa mkasa basi mtabe 1 akatoka kuwasambaratisha raia nikatulizwa kama saa 1 mle ndani wakaniambia unaelekea wapi usindikizwe duh huwezi amini niliwacheulia wale jamaa mapene yangu yote nikabaki na nauli kwa shukrani wakanipitisha vichochoroni mpaka kituo kingine nakadandia chuma mpaka home,uwoga ukawa kusema kuhusu wale wenzangu ila nashukuru mpaka kufika usiku wote tulikua salama ingawa kila mtu alitimkia kwake.
 
Mkuu umenikumbusha miaka 8 iliyopita, ilikuwa mdogo wangu anapokea kipondo kutoka kwa baunsa flani kwa kumtusi mke wake basi mm kuona mdogo wangu anapokea kipondo nikaumia sana na kama ujuavyo "damu nzito kuliko maji" , si ndo nikajitosa ulingoni kumpiga tafu dogo ili baunsa tumchape kwa ushirika!! Ile napanda tu ulingoni kupiga tafu basi dogo akarudi benchi na kuniachia msala ulingoni.. Kipigo nilicho pokea anajua muumbaji. Ila sikujutia kumtetea dogo japo nae nilim-mind balaa.!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndugu Mwenyekiti,

Ilikua MARCH 2016 usiku wa kuamkia jumapili.

Wiki hiyo yote nilikua na misukosuko ya kutosha, basi kama zali weekend hiyo ikawa ni birthday ya shemeji yangu(mdogo wake wife)- halafu huyu shemeji yangu ni maarufu wengi humu wanamjua ila sitomtaja.

Sasa wao wakaamua birthday ikafanyiwe pale "Bulls" survey njia ya kwenda UDSM, sasa pale home kwenye friji nilimnunulia wife castlelager kama 6 hivi 1week before, ila hakunywa, tulikua tunaishi na dogo mmoja hivi anatusaidia kazi pale home, sasa hiyo jumamosi mida kama ya saa 11jioni kupitia kwenye friji nikakuta zile bia, wife akasema hana mzuka nazo(alikua na ujauzito wa kama wiki 6 hivi) nikaona siyo issue nikamwambia yule dogo anayetusaidia kazi azipige.. dogo akazifakamia akachangamka kichizi.

Mida ya saa tatu usiku safari ya kwenda Bulls kwenye birthday ikaanza, tulipofika pale kwakweli palikua "pamenoga sana", tukaendelea kuvesha, wakalishana cake pale mambo yakaendelea . Kipindi hicho mimi nilikua nakunywa " vikali" sasa pale nilikuta watu wanavesha "nyagi dry" mzee baba "nikaliunga", hapo tulienda na yule dogo wa kunisaidia kazi, kichwani alikua na castlelager 6 tayari, alipoiona nyagi akawehuka na yeye akaendelea kuvesha, alikua anahamu nazo sana maana alikua anakunywa kwa kujifichaficha pale home nisijue ila mimi nilikua nishajua huyu dogo nae ni mkata maji mzuri tu so nilipompa huo "uhuru wa manyani" akawa so excited.

Hapo kama siku mbili zilizopita wife aliniambia kuwa Boyfriend wa mdogo wake-huyu birthday girl wetu ambaye ni shemeji yangu ameoa. Yaani jamaa ni mume wa mtu ila hajamwambia ukweli huyu binti, so binti hajui lolote anajua huyo ndiye future husband wake, lakini daily walikua wanagombana binti anaforce apajue nyumbani kwa jamaa maana jamaa kajenga goba ila jamaa anamchomolea kumpeleka kwake wanaishia kwa binti tu, hapo jamaa anaprovide kila kitu kwa binti.

Sasa kumbe wife alifanikiwa kuijua hiyo siri kupitia "washakunaku" faster akamwambia mdogo wake ukweli wa mambo kuwa jamaa kaoa, ni mume wa mtu zaidi ya miaka miwili, mdogo mtu akatafuta perfect time ya kuanzisha ugomvi, na kwa timing zake akaona siku hiyo ya birthday ndo aliamshe dude.

Basi bwana turudi pale Bulls, shughuli ilikua inafanyikia ndani mule kuna club, Tulilewa, Tukalewa, Tukalewa- Yesu wangu! Ukafika muda wa kuondoka, ilikua kama saa tisa hivi usiku, tokatoka nje pale, tupo kama watu 10 hivi, wakati huo yule dogo niliyotoka nae home alikua kazima kama mida ya saa nane hivi so nikampeleka kwenye gari nikamlaza seat ya nyuma.

Tukiwa pale nje kwenye parking tunataka kuagana varangati likaanza! Plan yangu ilikua nimpakie shemeji na boyfriend wake nikawadrop kwake(sinza) halafu sisi turudi home Africana-mbezi. Hapo mimi nilikua sijajua kama kuna mkakati wa kuliamsha dude, mara naona wanajizungusha, nikamwambia wife twendeni basi muda unaenda tukapumzike nimechoka, mdogo mtu akadakia, akasema kwa sauti kubwa mbele ha madereva tax na bodaboda "Shem yaani leo nataka nikalale kwa mume wangu, nataka akanit.o.mbeeeeee mpaka nijisikie kuwa leo kweli nim.et.ombwaaa", DAH..!!! kusikia vile madereva tax wakalipuka kwa makelele oyooooooo.... noma ... noma !!
Nikageuka kumtazama yule boyfriend wake nikaona anatabasamu lakini ni kama anahofu sana, akili ika'click kwamba hapa wanataka kumletea jamaa zengwe waende kwake waka'prove kama kweli jamaa kaoa au la!

Nikasema ngoja nimuokoe mwanaume mwenzangu, hapo wote tumelewa isipokua huyu boyfriend-ake. Wakati huo yule dogo kwenye gari katapika nyongo seat za nyuma huwezi kuzitazama mara mbili.. Nikamwambia Shemeji yangu, " Shem skia, kwasasa ngoja niwapeleke sinza, pakikucha mtaenda home kwa jamaa" akajibu "hapana, haiwezekani kila siku yeye hataki nipajue kwake, sasa nasema hivi hapa kama tunaondoka safari ni goba, siendi popote zaidi ya kwake", hapo kuna nyomi lishatuzunguka, nikaona ngoja nimvute pembeni nimpige darasa atanielewa tu, ile kumshika mkono tu wife nae akadakia "unataka uk.a.mt.ombe wewe?, unaingilia nini wewe yanakuhusu?"

Nilimrukia nikamlima kofi moja akaanguka chini, akanyanyuka mzimamzima akaniparamia mzee baba nikajikuta chini akanikalia kifuani halafu sasa yeye ni "giant" nikajikuta nashindwa kunyanyuka, akaniparua na kucha + ngumi, mzee baba nikaona fedheha gani hii tena, nikajikaza kiume nikampindua nikainuka, sasa nikaamua ngoja niende kwenye gari nisepe niwaache, ile nashika kitasa cha gari nilivutwa mpama chini tena, tulibiringishana pale mpaka akanichania vifungo vyote vya shati nikabaki vest nje.

Akafanikiwa kunitight vizuri sana, kila nikijaribu nikaona hii issue inakua series sasa nikaanza kumvesha ngumi, lakini kwakua nilikua tungi kila ngumi ninayompiga nikaona haimuingii, nikamng'ata mkono akashtuka kidogo hajakaa sawa nikamtia meno ya mgongo tena halafu nikainuka yeye yupo chini analia, nikaenda kwenye gari nikaweka D safari, hapo yule shemeji yangu, mumewe na marafiki wengine wanahangaika hawajui cha kufanya,! kufika pale calabash roho ya huruma ikanijia nikakumbuka pale alipo mbuni kipande hana, atafikaje home, nikapiga u-turn kupitia ile service road nikawakuta wote kwa pamoja wanatembea mdogo mdogo, nikageuza gari nikamwambia panda twende, akagoma nikashuka kwa hasira nikaanza kumburuta washkaji wanania muache tu uaimfanyie hivyo nikawaambia kama kweli mnamuhurumia nisaidieni kumbeba tumuweke seat ya nyuma, nikaweka ile child rock ya milango ya nyuma maana alikuwa na tabia tukizinguana tukiwa kwenye gari anafungua mlango ili kuruka.Basi tukambeba pale tukamuweka nyuma na yule dogo, nikatia gia safari.. Mpaka leo wife ana alama ya meno mkononi, ya mgongoni ilishafutika.
 
Ndugu Mwenyekiti,

Ilikua MARCH 2016 usiku wa kuamkia jumapili.

Wiki hiyo yote nilikua na misukosuko ya kutosha, basi kama zali weekend hiyo ikawa ni birthday ya shemeji yangu(mdogo wake wife)- halafu huyu shemeji yangu ni maarufu wengi humu wanamjua ila sitomtaja.

Sasa wao wakaamua birthday ikafanyiwe pale "Bulls" survey njia ya kwenda UDSM, sasa pale home kwenye friji nilimnunulia wife castlelager kama 6 hivi 1week before, ila hakunywa, tulikua tunaishi na dogo mmoja hivi anatusaidia kazi pale home, sasa hiyo jumamosi mida kama ya saa 11jioni kupitia kwenye friji nikakuta zile bia, wife akasema hana mzuka nazo(alikua na ujauzito wa kama wiki 6 hivi) nikaona siyo issue nikamwambia yule dogo anayetusaidia kazi azipige.. dogo akazifakamia akachangamka kichizi.

Mida ya saa tatu usiku safari ya kwenda Bulls kwenye birthday ikaanza, tulipofika pale kwakweli palikua "pamenoga sana", tukaendelea kuvesha, wakalishana cake pale mambo yakaendelea . Kipindi hicho mimi nilikua nakunywa " vikali" sasa pale nilikuta watu wanavesha "nyagi dry" mzee baba "nikaliunga", hapo tulienda na yule dogo wa kunisaidia kazi, kichwani alikua na castlelager 6 tayari, alipoiona nyagi akawehuka na yeye akaendelea kuvesha, alikua anahamu nazo sana maana alikua anakunywa kwa kujifichaficha pale home nisijue ila mimi nilikua nishajua huyu dogo nae ni mkata maji mzuri tu so nilipompa huo "uhuru wa manyani" akawa so excited.

Hapo kama siku mbili zilizopita wife aliniambia kuwa Boyfriend wa mdogo wake-huyu birthday girl wetu ambaye ni shemeji yangu ameoa. Yaani jamaa ni mume wa mtu ila hajamwambia ukweli huyu binti, so binti hajui lolote anajua huyo ndiye future husband wake, lakini daily walikua wanagombana binti anaforce apajue nyumbani kwa jamaa maana jamaa kajenga goba ila jamaa anamchomolea kumpeleka kwake wanaishia kwa binti tu, hapo jamaa anaprovide kila kitu kwa binti.

Sasa kumbe wife alifanikiwa kuijua hiyo siri kupitia "washakunaku" faster akamwambia mdogo wake ukweli wa mambo kuwa jamaa kaoa, ni mume wa mtu zaidi ya miaka miwili, mdogo mtu akatafuta perfect time ya kuanzisha ugomvi, na kwa timing zake akaona siku hiyo ya birthday ndo aliamshe dude.

Basi bwana turudi pale Bulls, shughuli ilikua inafanyikia ndani mule kuna club, Tulilewa, Tukalewa, Tukalewa- Yesu wangu! Ukafika muda wa kuondoka, ilikua kama saa tisa hivi usiku, tokatoka nje pale, tupo kama watu 10 hivi, wakati huo yule dogo niliyotoka nae home alikua kazima kama mida ya saa nane hivi so nikampeleka kwenye gari nikamlaza seat ya nyuma.

Tukiwa pale nje kwenye parking tunataka kuagana varangati likaanza! Plan yangu ilikua nimpakie shemeji na boyfriend wake nikawadrop kwake(sinza) halafu sisi turudi home Africana-mbezi. Hapo mimi nilikua sijajua kama kuna mkakati wa kuliamsha dude, mara naona wanajizungusha, nikamwambia wife twendeni basi muda unaenda tukapumzike nimechoka, mdogo mtu akadakia, akasema kwa sauti kubwa mbele ha madereva tax na bodaboda "Shem yaani leo nataka nikalale kwa mume wangu, nataka akanit.o.mbeeeeee mpaka nijisikie kuwa leo kweli nim.et.ombwaaa", DAH..!!! kusikia vile madereva tax wakalipuka kwa makelele oyooooooo.... noma ... noma !!
Nikageuka kumtazama yule boyfriend wake nikaona anatabasamu lakini ni kama anahofu sana, akili ika'click kwamba hapa wanataka kumletea jamaa zengwe waende kwake waka'prove kama kweli jamaa kaoa au la!

Nikasema ngoja nimuokoe mwanaume mwenzangu, hapo wote tumelewa isipokua huyu boyfriend-ake. Wakati huo yule dogo kwenye gari katapika nyongo seat za nyuma huwezi kuzitazama mara mbili.. Nikamwambia Shemeji yangu, " Shem skia, kwasasa ngoja niwapeleke sinza, pakikucha mtaenda home kwa jamaa" akajibu "hapana, haiwezekani kila siku yeye hataki nipajue kwake, sasa nasema hivi hapa kama tunaondoka safari ni goba, siendi popote zaidi ya kwake", hapo kuna nyomi lishatuzunguka, nikaona ngoja nimvute pembeni nimpige darasa atanielewa tu, ile kumshika mkono tu wife nae akadakia "unataka uk.a.mt.ombe wewe?, unaingilia nini wewe yanakuhusu?"

Nilimrukia nikamlima kofi moja akaanguka chini, akanyanyuka mzimamzima akaniparamia mzee baba nikajikuta chini akanikalia kifuani halafu sasa yeye ni "giant" nikajikuta nashindwa kunyanyuka, akaniparua na kucha + ngumi, mzee baba nikaona fedheha gani hii tena, nikajikaza kiume nikampindua nikainuka, sasa nikaamua ngoja niende kwenye gari nisepe niwaache, ile nashika kitasa cha gari nilivutwa mpama chini tena, tulibiringishana pale mpaka akanichania vifungo vyote vya shati nikabaki vest nje.

Akafanikiwa kunitight vizuri sana, kila nikijaribu nikaona hii issue inakua series sasa nikaanza kumvesha ngumi, lakini kwakua nilikua tungi kila ngumi ninayompiga nikaona haimuingii, nikamng'ata mkono akashtuka kidogo hajakaa sawa nikamtia meno ya mgongo tena halafu nikainuka yeye yupo chini analia, nikaenda kwenye gari nikaweka D safari, hapo yule shemeji yangu, mumewe na marafiki wengine wanahangaika hawajui cha kufanya,! kufika pale calabash roho ya huruma ikanijia nikakumbuka pale alipo mbuni kipande hana, atafikaje home, nikapiga u-turn kupitia ile service road nikawakuta wote kwa pamoja wanatembea mdogo mdogo, nikageuza gari nikamwambia panda twende, akagoma nikashuka kwa hasira nikaanza kumburuta washkaji wanania muache tu uaimfanyie hivyo nikawaambia kama kweli mnamuhurumia nisaidieni kumbeba tumuweke seat ya nyuma, nikaweka ile child rock ya milango ya nyuma maana alikuwa na tabia tukizinguana tukiwa kwenye gari anafungua mlango ili kuruka.Basi tukambeba pale tukamuweka nyuma na yule dogo, nikatia gia safari.. Mpaka leo wife ana alama ya meno mkononi, ya mgongoni ilishafutika.
Supavaiza
 
Back
Top Bottom