Umewahi Kuchunguza kwanini Nyoka hamdhuru Mtoto!?

Umewahi Kuchunguza kwanini Nyoka hamdhuru Mtoto!?

Museme na aina ya nyoka jamani aje chatu amwone mtoto hata awe kazaliwa sasa hivi kwake ni lunch made easy!

Hebu soma hii habari.

A 2-year-old Florida girl died after being strangled by a pet python that escaped from its aquarium and attacked her in her crib, police said.

Shaiunna Hare was
strangled early Wednesday morning by the 8-foot, 5-inch snake as she slept after it got out of its tank in another room of the house, according to Sumter County Sheriff's Lt. Steve Binegar.

Kwa habari zaidi bofya hapa.
 
Kwa hiyo mtoto wa miaka mitano au saba siyo mtoto? Wapi katika hii mada umri wa mtoto umekuwa specified au defined?

Naomba nionyeshe kama kuna mahali kwenye hii mada ambapo umri umekuwa specified, tafadhali.

Na huyu wa miaka 2 naye si mtoto?

A 2-year-old Florida girl died after being strangled by a pet python that escaped from its aquarium and attacked her in her crib, police said.

tumia akili yako ya kuzaliwa mzee yani hili nalo unataka mpaka michoro ili uelewe..... umeambiwa kuwa adrenaline hormone zinazalishwa pale mtu anapokuwa katika hali ya kujihami anapoona hatari kwa hiyo hata huyu wa miaka miwili kama alionesha hali ya kujihami kwa nyoka manake mwili wake uliproduce hizo hormone ambapo nyoka nae aka sense so lazima agongwe na si wa miaka miwili hata mtoto wa siku moja kama akikutana na nyoka na mwili wake ukawa kwenye hali ya kujihami na akaproduce hizo hormone manake atagongwa tu . na hata ukisoma comment yangu ya #75 vizuri ungenielewa vizuri sana sikusema mtoto tu nimesema mtoto aliyehali ya kuogopa na ndio maana hii theory anaapply zaidi kwa watoto kwa sababu wao hawajui yupi adui na yupi rafiki kwa hiyo wao kuproduce hzo hormone pindi anapomuuna nyoka ni ngumu koz hajui kama nyoka ni adui, mwisho hii
 
tumia akili yako ya kuzaliwa mzee yani hili nalo unataka mpaka michoro ili uelewe..... umeambiwa kuwa adrenaline hormone zinazalishwa pale mtu anapokuwa katika hali ya kujihami anapoona hatari kwa hiyo hata huyu wa miaka miwili kama alionesha hali ya kujihami kwa nyoka manake mwili wake uliproduce hizo hormone ambapo nyoka nae aka sense so lazima agongwe na si wa miaka miwili hata mtoto wa siku moja kama akikutana na nyoka na mwili wake ukawa kwenye hali ya kujihami na akaproduce hizo hormone manake atagongwa tu . na hata ukisoma comment yangu ya #75 vizuri ungenielewa vizuri sana sikusema mtoto tu nimesema mtoto aliyehali ya kuogopa na ndio maana hii theory anaapply zaidi kwa watoto kwa sababu wao hawajui yupi adui na yupi rafiki kwa hiyo wao kuproduce hzo hormone pindi anapomuuna nyoka ni ngumu koz hajui kama nyoka ni adui, mwisho hii

Wewe una tatizo la kusoma na kuelewa. Huyu mtoto wa miaka miwili alikuwa amelala kwenye crib yake wakati hilo chatu lilipoingia na kum-strangle.

Sasa mtoto wa miaka miwili aliyelala kwenye crib (unajua hata crib ni nini wewe) alikuwaje katika hali ya kujihami?

Soma hapa
Shaiunna Hare was strangled early Wednesday morning by the 8-foot, 5-inch snake as she slept after it got out of its tank in another room of the house, according to Sumter County Sheriff's Lt. Steve Binegar.

Huyo alikuwa katika hali ya kujihami kivipi?
 
Uko very right ndio maana kuna baadhi ya watu wana uwezo wa kulina asali bila kuumwa na nyuki, unapo-relax na hizo adrenaline hazi-react LAKINI UKIWA NA HOFU KUNA ADRENALINE ZINAZOZALISHWA na ambazo hutoa harufu fulani na harufu hio huleta interpretation kwa either Mbwa, Nyoka, Nyuki na viumbe wengine kuwa something is wrong and you must act.....ndio pale sasa unakuwa attacked. Utasikia kwa mfano watu wanasema ukimuona SIMBA wewe tulia tu....au kwa issue ya mtoto ni kwasababumtoto yeye adrenaline yake iko chini sana......nimejaribu tu na mimi kueleza ninachokielewa

Hayo ndio majibu sahihi. Nilishawahi kusoma hizo sababu zamani sana. Hata nilipoona title ya hii post, jibu nililotaka kuandika ni khs hormone ya Adrenaline inayozalishwa na mtu anayejua madhara ya huyo kiumbe.
Unapokuwa ktk Hali ya mshtuko, adrenalin inazalishwa kwa wings, as a result nyoka anapata sense ya kuattack ili kujihami. Mtoto hajui madhara ya nyoka, hence haogopi, therefore no adrenaline release....
 
Ni kwasababu ya sense of INNOCENCE: Nitaeleza

Kwa kawaida mtu anapopata mstuko huexcrete hormones ambazo humfanya ajihami na kuwa tayari kushambulia wakati wowote. Kimsingi hutoa adrenaline, hii huongeza hasira, nguvu na mambo mengine kama hayo. Sasa.......... adrenaline hutoa harufu au hujenga muunganiko (Nashindwa kuuelezea kibiolojia) na kile kitu ambacho kitashambuliwa. Mfano mtu anapokasirika kama amemkasirikia mwingine, ile hormone humvuta na kumjenga yule anayekasirikiwa na hatimaye naye huanza kujihami. Ndo maana mtu akikukasirikia utajikuta na wewe unamkasirikia (We become suggestible to other people's emotions) au kulia unapomuona mwingine analia hata kama hujui ni kwanini analia.

Back to the topic: Kwa vile mtoto ana sense of innocence, akimuona nyoka, wala hatastuka na adrenaline haitakuwa excreted na hivyo kutomjengea hali wa kujihami. Jambo hili halitamfanya Nyoka naye kujihami so anaweza "kucheza" na mtoto bila shida na bila kumdhuru. But akitokea mtu mzima ghafla na anastuka na kuexcrete adrenaline, then huyo nyoka anaweza kumng'ata mtoto kwasababu ya "mistaken identity" (kama ulivoambiwa ukimstua nyoka atatema SUMU kwenye mbege)

Nimejibu kwa maelezo ya kawaida (a layman's knowledge)


Hii nimeipenda sana,hoja imeshiba na ipo kitaalamu sana.nimejifunza kitu leo.
 
Nyoka ana uwezo wa ku sense anxiety level.

Kwa mtu mzima, ukimuona nyoka unastuka, nyoka anajua umestuka na hili linajenga tension anaweza kukuuma/ kukutemea sumu.

Kwa mtoto, mtoto hajui kama nyoka ni hatari, kwa hiyo anakuwa hana anxiety, anacheza naye tu.
 
A baby from Matoon, Illinois, narrowly escaped death after being attacked by a neighbor's two-foot-long python that slithered into his crib.

William Winans, who celebrated his first birthday this week, was treated for bites and bruise marks and is doing well, his father, Devin Winans, told ABC News.

Daily Mail



 
Mum to the rescue after snake attacks sleeping child

Call it adrenaline, call it maternal instinct.
But Tess Guthrie could not say where she found the strength to pry a two-metre python from the arm of her young daughter in the middle of the night.

In the early hours of Saturday morning, Ms Guthrie, from Lismore in northern New South Wales, was woken by the hissing of her cat, which had been behaving unusually in the days before the python's appearance. In the darkness she could make out a strange figure in the bed next to her.

Reaching for the light on her mobile phone, she found a snake coiled around the arm of her sleeping two-year-old daughter Zara.


 
Watu wametoa maelezo mazuri lakini kuna wanyama ni wakorofi tu kama FISI!

Fisi acha kabisa yule hata uwe usingizini anakupitia.Nimecheka juzi nikiangalia NAT Geo. FISI wakimshambulia SIMBA mkubwa tena dume hadi wakamla mpaka mifupa!!
Kwanza hiyo ni fix, secondly you are out of point.
 
Nyoka alining'ata miaka ya 83 tupo katika shamba la afisa usalama tunavuna mahindi enzi hizo za Nyerere tulikuwa tumekaa akuna aliyemuona alikuja hadi kwenye mguu wangu nakunidhuru ila mm nadhani akuwa na amani kwani tulikuwa shule nzima shambani hivyo akawa na hofu hivyo yeyote aliyekatiza kwake nikung'ata tu!
 
mtoto mdogo hana dhambi ndo maana snake hujifeel guilty sana akimdhuru,lakini sisi wakubwa ni mazinzi,malevi,maongo,machoyo,machawi,majizi ndo maana snake akitudhuru ni lawfull hata kwa sir God!
Hahaha sanoyet.. U have made my night. Nimecheka sana nilipofikia comment yako dah. Ukweli wadau wote wanaongelea swala la Adreline hormone wako right cause it cant be secreted when there is a sense of love. That's what is happening to children with animals. Wanawapenda wanyama na ndomana hata wazazi mijini[ towns] mara nyingi huwanunulia watoto midoli just to develope the sense of love in them.
 
Mpaka sasa hakuna aliyethubutu kutolea maelezo ya hizo habari nilizoziweka za hao watoto wadogo kushambuliwa na chatu wakiwa wamelala.
 
Haya mambo yapo sanaa,mimi ilinitokea mwanangu mdogo...kwa mara ya kwanza nimempeleka na mke wangu kuwasalimu wazee kijijini,mchana fulani tukiwa ndani tulisikia mtoto nje akicheka kicheko kikubwa sanaaaa,mke alikuwa kalala na mtoto alikuwa nje na bibi yake,bahat mbaya au nzuri,mama yangu alishuka bondeni mtoni..mtoto akabaki peke yake kama dk 10 hivi.
Kicheko cha mtoto ndio kilistua,alikuwa anacheeeka sana,kuchungulia..hamad!!!mtoto anajiviringisha na nyoka,nyoka anapanda,anamzunguka shingoni..mara ajiviringishe mkononi,haraka nikamuita mama watoto...ile kuona tu na ka...ji...ko...jo..le,mara huyo kadondoka...mimi nimesimama kimyaaa...kimba inagonga pichu...natetemeka balaa,kilichonishangaza ni kuwa nyoka akitaka kuondoka mtoto analia sana...nyoka anarudi,walicheza around 45''...kwa kweli nilitetemeka sana...kumbe Mama yangu anaiona movie yote,ila kajificha kweenye vitindi vya ulanzi,woga wake ni sisi kupanic na kupiga kelele kitu ambacho nyoka angemdhuru mtoto.
Kama baaada ya dakika 45 hivi nyoka akaanza kuondoka,mtoto nae akatambaa kumfuata nyoka machakani...nyoka akaenda baadae akasimama,mtoto akamshikashika...nyoka huyoooo akapotelea..mtoto akashindwa kuingia machakani akaanza kulia,tukajua labda kamuuma kwa kile kilio,kumbe wapi.
Nilitimua mbio kumnyakua mtoto kama mwewe,haya mambo yapo sana...kwaa kweli mi sitasahau...mke wangu ndio alipata kiwewe sana ukizingatia ni wale waliokulia kimjini mjini,Nimeona watu wametoa maelezo ya “kibaolojia/kisayansi“,japo kimila hii mambo ina tafsiri yake pia.

Hahahaha sipati picha ulijisikiaje siku hiyo mkuu. Ok, umesema biologically iko sawa hata mími pia nakubaliana nawe. Embu jaribu kutuelezea kidogo kijadi inamaana gani kwa ufahamu wako mkuu?
 
Inasemekana adrenaline hormone inayozalishwa pale mtu anaposhtuka kwa kumuona nyoka ndio inasababisha ang'atwe kwani nyoka anahisi hatari inayomkabili na anajihami mapema. Na ndio maana inasemekana kama hujamuona nyoka na yeye kakuona hawezi kukudhuru, kwa kuwa hakuna adrenaline inayozalishwa. Wataalamu wanasema nyoka inahisi adrenaline inayozalishwa katika mwili wa binadamu.
Kwa watoto nadhani hiyo ishu ya adrenaline hormone ina-apply, kwa sababu hawajui hatari ya nyoka.

very right mkuu!!
 
Mpaka sasa hakuna aliyethubutu kutolea maelezo ya hizo habari nilizoziweka za hao watoto wadogo kushambuliwa na chatu wakiwa wamelala.

Python is there to hunt for food which is quite different from other types of snakes before a child.
 
Python is there to hunt for food which is quite different from other types of snakes before a child.

But those pythons never attempted to eat those little babies let alone babies/ humans not being on their food chain.

How do you explain that?

And it's not like the other types of snakes don't eat or don't hunt for food.
 
Hayo ndio majibu sahihi. Nilishawahi kusoma hizo sababu zamani sana. Hata nilipoona title ya hii post, jibu nililotaka kuandika ni khs hormone ya Adrenaline inayozalishwa na mtu anayejua madhara ya huyo kiumbe.
Unapokuwa ktk Hali ya mshtuko, adrenalin inazalishwa kwa wings, as a result nyoka anapata sense ya kuattack ili kujihami. Mtoto hajui madhara ya nyoka, hence haogopi, therefore no adrenaline release....

Adreline hormones huwa secreted/huzalishwa kwa njia mbili yakukufanya either ukimbie au ukikabili kiumbe kilicho mbele yako. Kama itazalishwa kwaajili ya kukikabiri kwa wengine ila sio wote mimi nikiwa mmoja wao; huzalishwa kwa wingi sana hata kufikia hatua ya mwili kusisimka sana na vinyweleo kusimama na uwoga wote hutoweka. Na huyo kiumbe akisense umefikia hali hiyo mara moja hukimbia kujiepusha na dhoruba itakayomkuta.
 
Back
Top Bottom