Wadau,even my self nilishawahi kukutana na Chui mwaka 2001 nikiwa na umri wa miaka 15 na hakunidhuru hata kidogo,aliikalia baiskeli yangu huku anaunguruma tu coz nilianguka baada ya yy kutokea na alikuwa mkubwa sana and it seems alikuwa ananyonyesha coz maziwa yake yalikuwa yameshuka sana,baada ya muda akaondoka nami safari ikaishia hapo nikarudi nyumbani,even though hadi hii leo watu wa eneo hilo hawaamini hilo tukio coz wanasema hawajawahi kumwona Chui wala kumsikia,bt its a true story na hadi leo nashindwa kuelewa kwann ilikuwa vile,mwenye uelewa wa kina juu ya hili tafadhali.