Ni kwasababu ya sense of INNOCENCE: Nitaeleza
Kwa kawaida mtu anapopata mstuko huexcrete hormones ambazo humfanya ajihami na kuwa tayari kushambulia wakati wowote. Kimsingi hutoa adrenaline, hii huongeza hasira, nguvu na mambo mengine kama hayo. Sasa.......... adrenaline hutoa harufu au hujenga muunganiko (Nashindwa kuuelezea kibiolojia) na kile kitu ambacho kitashambuliwa. Mfano mtu anapokasirika kama amemkasirikia mwingine, ile hormone humvuta na kumjenga yule anayekasirikiwa na hatimaye naye huanza kujihami. Ndo maana mtu akikukasirikia utajikuta na wewe unamkasirikia (We become suggestible to other people's emotions) au kulia unapomuona mwingine analia hata kama hujui ni kwanini analia.
Back to the topic: Kwa vile mtoto ana sense of innocence, akimuona nyoka, wala hatastuka na adrenaline haitakuwa excreted na hivyo kutomjengea hali wa kujihami. Jambo hili halitamfanya Nyoka naye kujihami so anaweza "kucheza" na mtoto bila shida na bila kumdhuru. But akitokea mtu mzima ghafla na anastuka na kuexcrete adrenaline, then huyo nyoka anaweza kumng'ata mtoto kwasababu ya "mistaken identity" (kama ulivoambiwa ukimstua nyoka atatema SUMU kwenye mbege)
Nimejibu kwa maelezo ya kawaida (a layman's knowledge)