Umevaaje

Umevaaje

Price, mie siulizi...nakuita skype kabisa...unionyeshe tamu nilale kwa amani..
 
Last edited by a moderator:
Tena nasema sipendi na sitaki msione nawanyamazia na kukata simu sipendi sema tu siwezi kutukana. Unapiga simu usiku badala ya kuongea mambo ya maana unataka kujua nimevaaje, he! itakusaidia nini wewe, am i your Girlfriend?

Hata nisipovaa haikusaidii kitu, na hata nikivaa overall usiku haikusaidii. Baadhi ya wanaume mpoje, yani hadi ujue Msichana au Mwanamke usiku anavaa nini?

Ongeeni mambo ya msingi bwana kama huna its better usipige simu

du haupo romantic kabisa
 
Usithubutu, atapasua laptop bure, kesho msala ofisini
..haha..mambo ya kuulizana yamepitwa na wakati, mwendo wa kuachia nyeti ili microsoft athibitishe ubora wake...
 
tehtehtehteh.... ngoja tuone kama atakuruhusu uione thr skype


..haha..mambo ya kuulizana yamepitwa na wakati, mwendo wa kuachia nyeti ili microsoft athibitishe ubora wake...
 
Au na wewe ni mmoja wa wale waliokuwa wananionesha Midushee yao Skype eeeh...!
...siwezi hata kwa dawa, nachoweza kufanya ni kuichokoza nonino yako hadi ukubali kuionyesha, lolz...
men can be so mean ekseee!!
 
Ikiona hivyo ndio yakuvutia hisia apigie nye.o. Maana saa nyingine movie zinavhelewa kudownload
Tena nasema sipendi na sitaki msione nawanyamazia na kukata simu sipendi sema tu siwezi kutukana. Unapiga simu usiku badala ya kuongea mambo ya maana unataka kujua nimevaaje, he! itakusaidia nini wewe, am i your Girlfriend?

Hata nisipovaa haikusaidii kitu, na hata nikivaa overall usiku haikusaidii. Baadhi ya wanaume mpoje, yani hadi ujue Msichana au Mwanamke usiku anavaa nini?

Ongeeni mambo ya msingi bwana kama huna its better usipige simu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom