Umevaaje

Umevaaje

nakukuuliza hivi ulivyo mrembo si unatongozwa sana? loh mi mwanamke kutongozwa ndo inafaa sasa sijui antaka atongozwe yeye inaboa kwa kweli...
Haaaa haaaaa haaaaaa!!! labda anataka umwambie na yeye ni Handsm
 
Mwambie bhana.... mfungukie

Nilishamfungukiaga siku hizi haniulizi tena...et ndo ukute limtu from nowhere linaanza kuniuliza maswali km hayo.....lazima ale za uso na asirudi tena
 
Na jibu zuri ukiulizwa hivo ni sijavaa kitu coz nimeiacha ipumue kwani mchana kutwa nimeibana kwa manguo kibao.

Atakuuliza tena.... mkono wako uko wapi......!!! au unafanya nini..... yaaaaaaaaaaaaaniiiiii
 
Hata nikivaa Kaniki.... inahuuuuu!!!

Stress zako tu, ukute huna hata wa kukuuliza ila unatafuta promo!

Zile mambo za sipokei rushwa kwenye milango ya ofisi za CCM.
 
Nilishamfungukiaga siku hizi haniulizi tena...et ndo ukute limtu from nowhere linaanza kuniuliza maswali km hayo.....lazima ale za uso na asirudi tena
Tena wanaanzaga kwa kusema sorry nimewrong number
 
Stress zako tu, ukute huna hata wa kukuuliza ila unatafuta promo!

Zile mambo za sipokei rushwa kwenye milango ya ofisi za CCM.

Ningekupa jibu hilo... ila basi tu.......Mwenyezi iponye nafsi yangu
 
section c
1:write an essay on the economic importance of sleeping naked
2:Elaborate uses of papuchi(diagrams are not neccessary)

masai dada leo umeniua mbavu zangu na hayo maswali ya section.c
 
Last edited by a moderator:
ahahahahahhhh, nimechekaje.....
Ntuzu alishaanza kuniuzi, bora nimekuja pande hii nimecheka, "eti isalimi'' lol!

looh ni hilo tu umechukia
sisi tunaambiwaga ndani ya nguo kuna nini??

EMBU ISHIKE ISALIMIE

ingekuwa wewe si ungepasua sim
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom