Umevaaje

Umevaaje

Ha ha ha ha ha!

Mke wa mtu ni Price au Miss Chagga?

Samahani mkuu Gwijimimi. Mimi sielewagi jinsi mnavyooa humu ndani.

Hehehehe ukioa utaelewa mkuu
Gusa wote ila ukijaribu kwa miss chaga aka mama ya mwenyewe aka mama mapetha namwaga mtu kinyesi walaah
 
Tena nasema sipendi na sitaki msione nawanyamazia na kukata simu sipendi sema tu siwezi kutukana. Unapiga simu usiku badala ya kuongea mambo ya maana unataka kujua nimevaaje, he! itakusaidia nini wewe, am i your Girlfriend?

Hata nisipovaa haikusaidii kitu, na hata nikivaa overall usiku haikusaidii. Baadhi ya wanaume mpoje, yani hadi ujue Msichana au Mwanamke usiku anavaa nini?

Ongeeni mambo ya msingi bwana kama huna its better usipige simu

ukiwa umevaa magagulo we si mchawi
 
Huyu mwanamke duuuu sijui jini mahaba maana I.love the way she lie jamani.uwiii

oooh baby dont talk those hush words please ujue nakupenda basi ngoja nichezee uti wa mgongo na chini ya kwapa ...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom