gwijimimi
JF-Expert Member
- Sep 24, 2011
- 7,344
- 3,616
Jitu, halina heshima... muda wote lawaza ngono
Kuwaza ngono ni kukosa heshima?
So mean of u:banghead::banghead:
Jitu, halina heshima... muda wote lawaza ngono
Tena nasema sipendi na sitaki msione nawanyamazia na kukata simu sipendi sema tu siwezi kutukana. Unapiga simu usiku badala ya kuongea mambo ya maana unataka kujua nimevaaje, he! itakusaidia nini wewe, am i your Girlfriend?
Hata nisipovaa haikusaidii kitu, na hata nikivaa overall usiku haikusaidii. Baadhi ya wanaume mpoje, yani hadi ujue Msichana au Mwanamke usiku anavaa nini?
Ongeeni mambo ya msingi bwana kama huna its better usipige simu
Hata mimi nina hela.... Sidanganyiki
looh ni hilo tu umechukia
sisi tunaambiwaga ndani ya nguo kuna nini??
EMBU ISHIKE ISALIMIE
ingekuwa wewe si ungepasua sim
umekosa mimi sivaagi kitu
miss chagga anavaaga night dress
kwamtoro, unajua hadi rang ipi ya chupi ni nzuri....!!! mmh! unanitisha Kaka... naona kama unamichepukoUkweli ni kwamba rangi ya chupi ni moja ya vitu muhimu sana katika kusisimua penzi. Rangi nyeupe kwa mwanamke black beauty ni mpango mzima pamoja na rangi ya cream, kijivu na baby yellow. Ila kwa sasa hivi wanawake wenye uelewa kidogo wanakimbilia kuvaa rangi nyeupe na kuwa na rundo la chupi nyeupe kwa kujionyesha kwa mpenzi wake jinsi gani anajali usafi bila kutambua muonekano wake utakuaje kwa mwenzake.
Koma we Mke Wa MTU huyo umejuaje?
Usijali, mi nitakuvalisha
kabla yako nilikaa mimi
Koma we Mke Wa MTU huyo umejuaje?
kabla yako nilikaa mimi
nimevaa rangi ya udongo mfinyazi