Umevaa nini leo? Tupia uturingishie

"Jam" Cerebral overload.

Wee najua utachomoka na shem. Unaweza niarika kama vipi
Ooh ok ok...!


Mwaliko umepokelewa,karibu
IMG-20231225-WA0001.jpg
 
Babu kijana

Heri ya krismasi

Karibu Tunduma
Ulipotea sana Mkuu, hadi ukafanya niwaombe Interpol wanisaidie kukutafuta tujue ulipo.....

Baadaye nikapata habari kwamba ulifichwa na Yule Dada wa KiSouth 😅🙌

Ukija Town nicheki kiwanja chenu vijana cha Liquid Bar 🤗

Heri ya Krismasi kwako na Jamaa zako huko ulipo 🥂
 
Kweli nimekuza, jana nilipishana na mjukuu amevaa red hadi nikahisi ni wewe 😜

Happy birthday Mjukuu, Mungu akupe maisha marefu uishi ukimtegemea yeye kama nilivyo Babu yenu hapa 🤗

🥂
😍🤣🤭🙏🙏 Asante babu
Marry Christmas

Ulipishana nae wapi babu? Usikute ni Mimi?🤣🤣🤣
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom