Missy Gf
JF-Expert Member
- Oct 30, 2022
- 5,593
- 15,749
Na haijirudiiWatafutane wakatumie pamoja siku hii special kwa Tayana-wog ,itapendeza sana
Na haijirudiiWatafutane wakatumie pamoja siku hii special kwa Tayana-wog ,itapendeza sana
Babu kijanaKweli nimekuza, jana nilipishana na mjukuu amevaa red hadi nikahisi ni wewe
Happy birthday Mjukuu, Mungu akupe maisha marefu uishi ukimtegemea yeye kama nilivyo Babu yenu hapa
![]()
Ulipotea sana Mkuu, hadi ukafanya niwaombe Interpol wanisaidie kukutafuta tujue ulipo.....Babu kijana
Heri ya krismasi
Karibu Tunduma
Asante sana#karibuni
View attachment 2852539

Babe mimi nasubiri tulewe😅.
🤣🤣🤣🤣Natuma case closed. Tayana-wog Nakutumia through Simbankig tumia utakavyo wakaribishe marafiki. Natafuta ili utumie 😂👍
😋Babe mimi nasubiri tulewe😅.
Sijapika pilau😢
😍🤣🤭🙏🙏 Asante babuKweli nimekuza, jana nilipishana na mjukuu amevaa red hadi nikahisi ni wewe 😜
Happy birthday Mjukuu, Mungu akupe maisha marefu uishi ukimtegemea yeye kama nilivyo Babu yenu hapa 🤗
🥂
🤣🤣Tayana-wog naomba uelewane na huyo kijana na kama sio huyo basi yule mwingine,mmalizane🤣
Sitaki kuona mkiishia kusifiana tu
Naona aibu mimi 🤣 na hata niliyokuambia last night hukutekeleza.
EwaaaaAnabaki akipiga kelele kama ambulance....atume kibunda hiko mtoto akale vituuu
Amen
🙏🙏🙏🤝🤝Happy birthday Tayana-wog
🤣🤣🤣Zulu man unanisagia kunguni wee jamaa yangu😂😂
Nikutakie Xmass njema tafuta sehemu ukale. Mi niko jam
Sitoki na mtu mpk muamala usome🤣🤣🤣Watafutane wakatumie pamoja siku hii special kwa Tayana-wog ,itapendeza sana
Ilikuwa kwenye Parking za Mlimani City, mlikuwa mnapita njia.😍🤣🤭🙏🙏 Asante babu
Marry Christmas
Ulipishana nae wapi babu? Usikute ni Mimi?🤣🤣🤣
🤣🤣🤣😍Ilikuwa kwenye Parking za Mlimani City, mlikuwa mnapita njia.
Walikuwa ni Wadada wawili wa Yesu kwa kuwaangalia, maana walikuwa wanaongea habari za Mbinguni.
Kama mnavyojua kwa umri wetu huu wa Uzee, hizo ndiyo stori hupenda kuzisikia maana wengi hatupendi kukosa ile safari ya unyakuo 🤗
😍 Portable hatua habari na mloganzila ama niniiii💃🔥View attachment 2852616Mmemaliza pilau🤪
😂😂😂😂Na haijirudii