Ms eyes
JF-Expert Member
- Feb 4, 2023
- 4,773
- 11,976
Kumbe kiliwaka tena🥲Una uhakika?
Hujui km wamekula ban wote walikuwa wanabishana ile siku?
Kumbe kiliwaka tena🥲Una uhakika?
Hujui km wamekula ban wote walikuwa wanabishana ile siku?
SanaaKumbe kiliwaka tena🥲
si unaona baada ya kushtakiwa na kusagiwa kunguni kalala mbele. Siku hizi hayupo tena JF.



mbonaa yuko na anaswampaaa humu km kawaaa.Mbonaa yupo kwa vazi jinginee, humu hatoki mtu tunabadilisha ujio tyuuh.Kwema
Yaani nilivyo na shida lamomy mambo gan ss haya jmn





Niitie yule mwenzio aliye pigwa ban, nataka nije nimnyooshe kama nguo.Mbonaa yupo kwa vazi jinginee, humu hatoki mtu tunabadilisha ujio tyuuh.![]()
Wee kiumbe em tulizanaa, km kweli unataka battle nae, ambia modes wamtolee ban, awe huru ili mcharuane vizuriii.Niitie yule mwenzio aliye pigwa ban, nataka nije nimnyooshe kama nguo.





Muambie asishindane na the heavyweight, nitapiga ban accounts zake zote, za familia hadi ukoo.Wee kiumbe em tulizanaa, km kweli unataka battle nae, ambia modes wamtolee ban, awe huru ili mcharuane vizuriii.
![]()
Wee mwenyewe ulipigwa ban, ukaenda jiliza kwa modes wamekuachiaa, sasa wengine hawajazoea kulia lia kwa modes.Muambie asishindane na the heavyweight, nitapiga ban accounts zake zote, za familia hadi ukoo.






Sijawahi kwenda kulia kwa mods, hio michezo sina.Wee mwenyewe ulipigwa ban, ukaenda jiliza kwa modes wamekuachiaa, sasa wengine hawajazoea kulia lia kwa modes.
![]()
Wamekuachia vipii? Usizuge hapa ulienda kuomba wakuachie huko.Sijawahi kwenda kulia kwa mods, hio michezo sina.





Ngoja aje ndugu yako CountrywideSijawahi kwenda kulia kwa mods, hio michezo sina.
Ameshanyooka, alikuwa anajitia ana mdomo mchafu, alikuwa hajui kama ana deal na nani..Ngoja aje ndugu yako Countrywide
Wanashindana na the heavyweight..




unacheka kwa kujitekenya mwenyewee!! Woiiiiiih
Umepost nini?