Gushleviv
JF-Expert Member
- Mar 14, 2011
- 3,457
- 5,322
Mkuu hizi "Skuna" bado zinapeta tu?🤣🤣
Mkuu hizi "Skuna" bado zinapeta tu?🤣🤣
TzF iko tayari kunyanyua majeshi mzigoni na muda huu namna hiiUnajua kwanini tuna vioo majumbani na wengine kwenye mapochi? Kupendeza
Unajua ni kwanini maskini kuchagua viwalo? Kupendeza
Unajua kwanini baadhi getu hupenda watu watuangalie na kutusifia? Kupendeza
Hebu tupia ulichovaa leo uwe saa, miwani, wigi, kiatu ama nguo yoyote ile na urembo wowote upe..
Kama huna basi tupia hata cha mtandaoni unachoona aliyevaa kimemtoa kwatu na kupendeza sanaView attachment 2817216
Sent using Jamii Forums mobile app
View attachment 2817248
Dah we jamaaNimevaa kaniki na hirizi nakuja kilingeni kwako
Yeah, poa kabisaAsante , uko poa lakini ?
Tuambie umelala wapi leo
Vizuri havitangazwi😀Post basiii
Kausha mjukuu kesi itaisha kwa shangwe sanaHuu haufungwii, kuwa na amanii.
Afu una casee gran pah, wee haya tyuuh.
Nimepaliwa......
Hivi kuna watu bado wanavaa suruali za kunyoosha mapanga kihivyo🤔Mguu wa kutoka -Sauti ya Bufa
View attachment 2817324
Tupo ,hadi jeans inanyooka.Hivi kuna watu bado wanavaa suruali za kunyoosha mapanga kihivyo🤔