financial services
JF-Expert Member
- May 17, 2017
- 18,139
- 43,360
Si ndiyo mnapendaga, sisi wenye flat screen hamtutaki🤔![]()
Hata kama ni tandamu this is too much, noooo!!!
Si ndiyo mnapendaga, sisi wenye flat screen hamtutaki🤔![]()
Hata kama ni tandamu this is too much, noooo!!!
Karibu kijiwenii cousin kijiwe kama vijiwe vingineee lol!😊Ila jf 🤣🤣🤣🤣
Kaka salamu zimefika na zitafikishwa km zilivyo hajui km unamiliki mguu wa kuku??Lamomy mfikishie habari mod anayemvizia wifi yako kuwa nitamkula kichwa, naelekea kupanda Abood toka kigoma kufika Dsm.View attachment 2818250
Sorry Tayari... Nimeifuta saiviMbona hujafuta?
Cousin jf never boring msemo wako 😅Karibu kijiwenii cousin kijiwe kama vijiwe vingineee lol!😊
Sio, mamy k ananinuniaga haniambii 😂😂Atakua ni mamy k![]()
Au shem misheni town 😂😂😂Hebu lala huko,![]()
Kabisa cousin tuishi humohumoo!Cousin jf never boring msemo wako 😅
Jembe,shoka na nyundo ziko humo bila kusahau mahindi toka shambaKaka salamu zimefika na zitafikishwa km zilivyo hajui km unamiliki mguu wa kuku??
Kaka mabegi yote hayo umejaza pesa 🤑🤑
Wifi ndo utulie nipewe pesa uache kucheka na washamba Ms eyes
Nikikosa pesa hizo nakutafuna mbichi mbichi 😂😂😂
Kabisa aisee ila dahhhKabisa cousin tuishi humohumoo!
We love you tooo kantri akeee Chimomy!!![]()

mtt una hagaz 🤣 sikuhiz unakula nn mrembo?Si ndiyo mnapendaga, sisi wenye flat screen hamtutaki🤔
Yule dogo mshamba ndio basi tena?Kaka salamu zimefika na zitafikishwa km zilivyo hajui km unamiliki mguu wa kuku??
Kaka mabegi yote hayo umejaza pesa
Wifi ndo utulie nipewe pesa uache kucheka na washamba Ms eyes
Nikikosa pesa hizo nakutafuna mbichi mbichi![]()
Sorry Tayari... Nimeifuta saivi

Ha ha ha hahaHivi kumbe mtu aliye nyuma ya hii ID huwa ni KE...![]()

Hana pesa Shem wangu kapewa cha mbavu 😂😂😂Yule dogo mshamba ndio basi tena?
Basi atakua Carleen ,maana huyu ndio dada angu mpole hawezi kuongea kabisaSio, mamy k ananinuniaga haniambii![]()
