Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 43,238
- 90,416
MV , Maersk Alabama
MV , Maersk Alabama
Em huko, ndo meza ziwe km machinjio ya vibudu pale mbezi stefoli? Khaaah




😂😂😂😂 bila hekaheka haunogiAcha ukorofii uduguuu huu uzi hatutaki hekaheka mjue!!
Tupie mafotoo!!
Sema babu anachekesha
Hebu arudi tuendelee kumtania sie
Nimemiss miosho yake![]()



muachee babuu miga, wee mbna mkorofiii?? Ntakubondaa.Nifowadie pm🤪Hata ninalo sasa? 😂😂😂
Mifupa mitupu imejaa
Aisee!! Poleni sana
Uzuri wa shughuli hekaheka😂😂😂😂 bila hekaheka haunogi
Me namkaribisha babu mi nimemmiso kweri kwerii
Yutongs za Shimba ya Buyenze heavyweighttttt
Kuna jambo limenishtua nilivyoonaMV , Maersk Alabama
Babu miga asababishe ile mindinga ya ku download 😂😂😂muachee babuu miga, wee mbna mkorofiii?? Ntakubondaa.
Thubutuuuu!! Mtoto mashallah! Umekamilika kila idara!Hata ninalo sasa? 😂😂😂
Mifupa mitupu imejaa
Mungu ni mwema sanaSijambo aunt. How u doing...
-Kaveli-
Si ndo hapo sasa!! Ya nini kukaa ukiwa km tuko msibani? 😂😂😂😂Uzuri wa shughuli hekaheka
Babu miga asababishe ile mindinga ya ku download
Na mipicha ya warembo worldwide km yote



uduguu kwann unanifanya niwe wa uswazii? Ba tamu anataka niwe km wa Masaki.Weee uduguu kushinda insta kwiooo chimbo letu limerudi hakuna kuondokaaa! 🕺🕺😁😁🤣😂😂😂😂 Mi mwenyewe nakaribia kustaafu hekaheka! Ss hivi nashinda insta na Kantry
Halahala uzi usifungwe tu😁!Si ndo hapo sasa!! Ya nini kukaa ukiwa km tuko msibani? 😂😂😂😂
Michachuo lazima
😂😂😂 mifupa?Nifowadie pm🤪