Valentina
R I P
- Oct 12, 2013
- 24,688
- 28,834
We anza tu kampeni 😂😋hivi Jimbo Lina mtu kweli😂😂😂
We anza tu kampeni 😂😋hivi Jimbo Lina mtu kweli😂😂😂




naombaa nikupeleke chimbo ukapate dundo za maana.






Saa umebana sana mkono, damu zitagandaa.
😂 😂 😂naombaa nikupeleke chimbo ukapate dundo za maana.
Hii midosho hapanaa, khaaaah
Ngoja nilegeze😅Saa umebana sana mkono, damu zitagandaa.
If you can’t drive it, wear it.Kiofsa zaidi
View attachment 3043913
Katika misosi ilinishinda ni hii kitu. Ukienda miji ya kusini mwa ET hii kitu inakuja na nyama mbichi……tembea uone na kujifunza.Njera/ Injera ni kama chapati za maji lakini sio. Chakula maarufu sana Ethiopia. Hapo zimemwagiwa nyama na hiyo ya njano ni kama pilipili ya unga.
Uko Already nikupelekeee chimbooo?![]()
![]()
![]()
Aisee Nitafanya hivyooooo maana Mlongo unanichambua sana kama mchele




Nitakutonya MlongoooUko Already nikupelekeee chimbooo?![]()
ready bhana , nitakushitua wanguUko Already nikupelekeee chimbooo?![]()