The Monk
Platinum Member
- Oct 12, 2012
- 20,318
- 46,058
Sanaaa.Gran Melia!!
Hope uli enjoy.
Sanaaa.Gran Melia!!
Hope uli enjoy.
Ndio nakuuliza unataka nikununulie uendee clinic kumbuka umebeba Mapacha 7 hapo Muda huu alafu bado nakupelekea mkong'oteoUmekipenda nikununulie? 😹😹😹
Najua umekipenda unaona aibu kusema 😹😹😹Ndio nakuuliza unataka nikununulie uendee clinic kumbuka umebeba Mapacha 7 hapo Muda huu alafu bado nakupelekea mkong'oteo
Kwa hio nikukunulie uendee clinic angalia vizuri hio Mimba isiharibikeNajua umekipenda unaona aibu kusema 😹😹😹
Nakununulia wifi usijali
Kesho nalala wifi, damu ya Yesu ikulinde 😍Kwa hio nikukunulie uendee clinic angalia vizuri hio Mimba isiharibike
Haya uukalie mkong'oteo sasa waage na wengine na hivyo vi-emoji bado hawajaelewa tuKesho nalala wifi, damu ya Yesu ikulinde 😍
Nyingine hizo nakuongeza 🥰🥰🥰🥰Haya uukalie mkong'oteo sasa waage na wengine na hivyo vi-emoji bado hawajaelewa tu
Na kapusi kako kana mafuta mengi sana ni mwendo wa kuteleza tuNyingine hizo nakuongeza 🥰🥰🥰🥰
Haya furahi sasa 😹😹😹
Sehemu za vibopa hizo.Sanaaa.
Kenge hatukosekani kwenye Msafara wa Mamba.Sehemu za vibopa hizo.
Njoo PM basi mrembo!!Nyingine hizo nakuongeza 🥰🥰🥰🥰
Haya furahi sasa 😹😹😹
Na wee ni kibopaa bhana.Kenge hatukosekani kwenye Msafara wa Mamba.
Ila Melia zote, Zanzibar na Arusha, kwenye vyakula wapo vizuri sana.
Kama kibopa wa JF sawa, hapa ndio eneo unaweza kuwa mtu yeyote. Kama kwenye ndoto vile.Na wee ni kibopaa bhana.
Hope uli enjoy msosi mtamuu!!
Kama kibopa wa JF sawa, hapa ndio eneo unaweza kuwa mtu yeyote. Kama kwenye ndoto vile.
Melia Zanzibar napapenda zaidi kuliko Arusha. Wana eneo kubwa na muundo wa vyumba vyao ukichanganya na ufukwe wa bahari unasahau dhiki za reja reja.



akhiii nimechekaa sanaa!! Kibopa wa kotee bhana.Makasiriko ya nini tena honey?We shangingi unaweza kutulia ukaacha kunikwoti?
Kaka zangu wote washaoa hawahitaji mke 😹😹
jinsia yako tafadhali ,a man awezi lamba lips na kuweka mbele ya wanaume wenzake
😋hivi Jimbo Lina mtu kweli😂😂😂