Omulasil
JF-Expert Member
- May 5, 2015
- 8,174
- 10,445
Volume iko juu🏃♂️🏃♂️Umesema niongezee??![]()
Volume iko juu🏃♂️🏃♂️Umesema niongezee??![]()
Volume iko juu nitapusua ngoma ya sikioRudi hapa
Unakimbia nn🤣
I cant cross alcohol testline. Sikuiona. Ndio macho nayashikilia ku type😂😂Kuna kijana amekufa kabisa juu yako sometimes ana type hadi mazingaombwe humu JF na hutaki kumuelewa🤣
Akiona hii bhaaas tunamzika.
😂Mr vocha umemficha wapi shouz
Atupe vocha majobless
Nimekumbuka shouz
Kiherehere chetu Cha kuziwahi vocha za Mjep kilifanya watu waugue presha
Jf Ina mambo hiii
Heri wanaochat na kumwaga mambo hadharani siyo wanafiki tunajua tu iko hivi
Kuliko hawa wa kujifichaficha
😂😂😂Umechachuka au ndio mwaka mpyaAbeeeh shangaziii,![]()
🤣🤣🤣🤣MakubwaMr vocha umemficha wapi shouz
Atupe vocha majobless
Nimekumbuka shouz
Kiherehere chetu Cha kuziwahi vocha za Mjep kilifanya watu waugue presha
Jf Ina mambo hiii
Heri wanaochat na kumwaga mambo hadharani siyo wanafiki tunajua tu iko hivi
Kuliko hawa wa kujifichaficha
We shouz,Dada mpole😂wee dyadyaa nani alipata presha kisa sisi kuwahi voucha za mjep? Hebu nidokezeee
Kama wewe Auntie nadhani ndio ulichambwa sana maana ulikuwa mtandao mmoja na Bibie 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Makubwa
Is this blue safari 🥰Tukafanye scuba diving rafikis tuweke mwili safi
Mama some food 😋goodmorning🤣🤣🤣🤣Makubwa
Is this your favorite spot mama? Tanzania ina sehemu nzuri et and I wish I could own them all because every place I visit just pulls me in sanaaa.Is this blue safari 🥰
No breakfast leo?🤣🤣🤣🤣
Good morning to you too ZM!🙂
Napenda utalii wa baharini na safari blue was my favoriteIs this your favorite spot mama? Tanzania ina sehemu nzuri et and I wish I could own them all because every place I visit just pulls me in sanaaa.
😋🤣
Sasa kosa la mwamba ni lipi? Mbuzi kajielekeza kibla mwenyewe usipomchinja ni dharau. Wahuni hawakatai K wewe labda iwe imeoza. Ukiipeleka inapasuliwa tu.Wee baba acha kumuwehushaaa shouzzz angu,
Kwann usimuachee hata kidogo? Hata km yeye ame fall love kwako, hebu mfungie vioo,
Wee varangatii lote lile? Huna hata mshipa wa aibu wee mwanaume jamanii khaaah.
Sahivi uko na shouzzz, vipi wale vimada wako ulokutana nao ofisini na gym wanajisikiajeee?
, wee baba uwage hata na mshipa wa kujistukiaaa,
Mfyuuuuuuuh
Mkuu naona siku yako ilikuwa tulivu kabisa
Yeah kuna maeneo mazuri ya kuvutia baharini, Umefanikiwa kutembelea maeneo gani mara ya mwisho tofauti na safari blue?Napenda utalii wa baharini na safari blue was my favorite
Maalum cavesYeah kuna maeneo mazuri ya kuvutia baharini, Umefanikiwa kutembelea maeneo gani mara ya mwisho tofauti na safari blue?
Pia usisahau kujaribu utalii wa train ,uta enjoy sana.
Sasa kosa la mwamba ni lipi? Mbuzi kajielekeza kibla mwenyewe usipomchinja ni dharau. Wahuni hawakatai K wewe labda iwe imeoza. Ukiipeleka inapasuliwa tu.
Hamjui tu hamna kitu kinatupa furaha kama demu umempiga matukio yote ila hana mwendo kila ukimtaka ni simu moja tu huyu hapa, ni ufahari sana aisee.
Acheni mwamba ajipigie zake mautamu bila kutumia nguvu
Woow!Hongera sana,hadi mwezi February natamani niipite record yako ya utalii wa bahari hapo kwa listMaalum caves
Baraka aquarium
The rock
Hizi zote za zanzibar
Nje ya zenji nmeenda
Magoroto na saadan
Saadan nilienda na train it was good
Natamani kwenda mbeya via train
.
..nakuhakikishia hautojutia.