Umevaa nini leo? Tupia uturingishie

Umevaa nini leo? Tupia uturingishie

Kama wewe Auntie nadhani ndio ulichambwa sana maana ulikuwa mtandao mmoja na Bibie 🤣🤣🤣

Mimi tu pamoja na airtel yangu ambayo bibie alikuwa hatumii ila alininyamba huko.

Nasikia vocha zikawa zinamuumiza sana hadi akahisi pengine Mjep anataka kurusha nyavu.
😊,maskini kumbe baba wa watu roho yake ni Kusaidia tu majobless sisi.
🤣🤣🤣🤣Mtanivunja mbavu mbona habari hii mpya 😂😂😂😂
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom