Umevaa nini leo? Tupia uturingishie

Umevaa nini leo? Tupia uturingishie

Wekeni 🤳🤳🤳🤳 pullliiizzzzzzzzzzzzzzz!
Tushaweka

Karibu sana Kanisani tuzaliwe upya na Kristo,amezaliwa kwa ajili yetu wadhambi.

Yote ya Dunia ni ubatili na kujilisha upepo.
 

Attachments

  • IMG_20231226_095218_228.jpg
    IMG_20231226_095218_228.jpg
    1.2 MB · Views: 9
  • IMG_20231226_090006_552.jpg
    IMG_20231226_090006_552.jpg
    319 KB · Views: 6
Ayayaaaaa!!!
Mr vocha umemficha wapi shouz
Atupe vocha majobless


Nimekumbuka shouz
Kiherehere chetu Cha kuziwahi vocha za Mjep kilifanya watu waugue presha

Jf Ina mambo hiii
Heri wanaochat na kumwaga mambo hadharani siyo wanafiki tunajua tu iko hivi
Kuliko hawa wa kujifichaficha
 
Mr vocha umemficha wapi shouz
Atupe vocha majobless


Nimekumbuka shouz
Kiherehere chetu Cha kuziwahi vocha za Mjep kilifanya watu waugue presha

Jf Ina mambo hiii
Heri wanaochat na kumwaga mambo hadharani siyo wanafiki tunajua tu iko hivi
Kuliko hawa wa kujifichaficha
wee dyadyaa nani alipata presha kisa sisi kuwahi voucha za mjep? Hebu nidokezeee
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom