Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 72,009
- 177,303
Mlivo siriaz sasa🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Mlivo siriaz sasa🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Usinchoshee weka mafoto,🤳🤳🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣shouzzzz nikuulize?
Naomba nikuulize kidg, moyo wangu utakua na amaniii.Usinchoshee weka mafoto,![]()




🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😁😁😁😁😁😁😁 Mnaniua Mbavuuu Zangu mimiiiii 🤣🤣🤣wee shouzzz una nn wee? Husikii wala huoniiii?
TushawekaWekeni 🤳🤳🤳🤳 pullliiizzzzzzzzzzzzzzz!
Hahahaha,roho mtakatifu aliniambia kabla ya mwaka kuisha nitaona mtu akiwa na rangi ya pink au akiwa na rangi mbalimbali 🤣🤣🤣🤣Leo naona umeniotea sio mchezo 🤣🤣
Poaaa👍👍
Weee sema kweli????🤣🤣🤣🤣🤣🤣Karibu sana Kanisan Kristo,amezaliwa kwa ajili yetu wadhambi.
Naomba nikuulize kidg, moyo wangu utakua na amaniii.
Em bas nikuulize, nipe fursaa hyoo![]()
KabisaAmani Inapatikana kwa Yesu Kristo! Nasema uongo Saint Anne???🤣🤣🤣🤣
Ane akupeleke ukaokolewe upate amani 🤣🤣🤣



wee shouzzz em huko bhanaa, bas ngojaa najua Pa kukupataa.Kabisa
Amani ipo kwa Yesu
Coca anatafuta wapi amani kwani?
Akamuulize Yesu![]()





🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣mfyuuuuh em nenda kwa smart hukoo.
Ayayaaaaa!!!Majibu ya amani yapo kwa Bwana wa majeshi
Sema Ayayaaa
Mr vocha umemficha wapi shouzAyayaaaaa!!!






Mr vocha umemficha wapi shouz
Atupe vocha majobless
Nimekumbuka shouz
Kiherehere chetu Cha kuziwahi vocha za Mjep kilifanya watu waugue presha
Jf Ina mambo hiii
Heri wanaochat na kumwaga mambo hadharani siyo wanafiki tunajua tu iko hivi
Kuliko hawa wa kujifichaficha



wee dyadyaa nani alipata presha kisa sisi kuwahi voucha za mjep? Hebu nidokezeee