Umevaa nini leo? Tupia uturingishie

Umevaa nini leo? Tupia uturingishie

Wee baba acha kumuwehushaaa shouzzz angu,
Kwann usimuachee hata kidogo? Hata km yeye ame fall love kwako, hebu mfungie vioo,

Wee varangatii lote lile? Huna hata mshipa wa aibu wee mwanaume jamanii khaaah.
Sahivi uko na shouzzz, vipi wale vimada wako ulokutana nao ofisini na gym wanajisikiajeee?
, wee baba uwage hata na mshipa wa kujistukiaaa,
Mfyuuuuuuuh
Aunt 🤣🤣🤣🤣
 
Aliyenisafishia miwani yangu leo, ana nafasi yake peponi maana nawaona Wajukuu live


Vijana ambao hamjaoa leteni ng'ombe, Babu yenu nimekuza Mjukuu 😜
Mjukuu wako nimekonda nimebaki mifupa tu
Makongoro haya hapa🤣🤣🤣
 
Yaani hata aibu hana
Kanawachanganyia maneno wee
Wanagombana halafu mwenyewe anapita kama haoni wakati ndo mbea namba moja wa kugonganisha maneno

Mbaya zaidi ni mwanaume.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi haya si yalishaisha kila mtu tuko na mambo yake lakini Kuna wanaogombana na kurushina maneno hapa????
Nyie ndio mnaoenda kuharibu uzi sasa kama limewakaba fungulieni uzi hukooo mchambeeeee muongeee tani yenuu🐒
 
Tafuta tafuta bhana 😗
😄😄
57c83c7f-fe7b-4715-899e-6dd75ab2b1e8.jpeg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom