Christine_1
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 30,246
- 42,059
Wizo mbavu zangu jmnYaani ,nimekuwa mvivu kukatika chitchat,napita hili wala lile
Nashangaa Bossledi wetu umerudisha majeshi kwa nguvu kwa mtu uliyesema aliambukiza watu gono.
Nikashtuka,Ina maana mjeda umempiga chini Tena pamoja na misamaha na Toba zote ulizoomba!?
Ama mnaandaa sinema zetu wajameniπ
Wee Tupia hivohivoooo! Kitambi ugonjwa ujue !Dah muda huu niko tumbo wazi na sina hata kitambi cha kufutia screen ya smartfoniππ€£
Yaan leo nimesukuma ndinga, nkashindwa kupiga picha ntaonekana mshamba bureee, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 2853613
Njoo uonje kwanza hii
Huyi @St Anne ni mpana sana aweke orodha ya hao watu watu waende kwa kunyataπππ€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£!
Mbavuuu Zangu mimiiiii Nacheka hadi bandama inakaukaaaaa!π€£π€£π€£π€£!
Anne π!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
Kuna watu wataunguza vifaa vyao vya kazi[emoji2089][emoji2089][emoji2089]
Kaskazini hatoki/ hakai boya π€£π€£Nani hao wanasema vibaya..... π
Hii kitu kwangu haijawahi kuwa na shida hata siku moja zaidi ya urembo π₯
Inaonekana unajua sana mikato ya kijanja ππ₯
Niko flat screen ππWee Tupia hivohivoooo! Kitambi ugonjwa ujue !
Mbona boxing dayYaan leo nimesukuma ndinga, nkashindwa kupiga picha ntaonekana mshamba bureee, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nimekanyaga mafuta leo, yaan mikono iko mepesiiii.
πββοΈπββοΈπββοΈπββοΈ[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Upiga hatua fupi fupi. Utawakaπππ₯π₯Kumekucha π€£π€£
Sio wife material oooooo f#Β£@k that πKaskazini hatoki/ hakai boya π€£π€£
Nikipitaga MMU naskia, akivaa ankle chain sio wife matirio.
Hebu selfika basi Bossledi
Tuwaone ukiwa na mubebe mnakula bata
Kwani Dunia yetu hii?
Mkemia wetu wa kimataifa huna baya [emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimekaa paleeππUpiga hatua fupi fupi. Utawakaπππ₯π₯
Mfyuuu. Unazingua wewe!Niko flat screen ππ
π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£!Jamanii nasikia kuna ubuyu hapa, maana nilikua buzzy na boxing, mara napewa in4 jf kumewaka selfika 2 imeanza drama za zaman, ndo huu winja winja, hebu mnijuze kulikoniiiii
ππππππ
Dah. Niweke kwenue box hii mashine. ππNimekaa paleeππ
Ni suala la muda tu.....
Tunatafuta pa kupitiaπ₯
Kwanza una deni . Ule msuko uweke hapaππMfyuuu. Unazingua wewe!
πππSio wife material oooooo f#Β£@k that π
Shangaziiii picha ziko photoshoot, bado sijapata kutoka kwa cameraman wangu. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]