Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,818
- 233,249
Pole sana MkuuAhsante ,yeah nimetoka jana mchana ,naendelea vzr best
Pole sana MkuuAhsante ,yeah nimetoka jana mchana ,naendelea vzr best
Made in mloganzira
🤣🤣🤣🤣Wee mtake radhi uduguuu Tajiri enu masaa yote ataka muona his queen Tayana-wog
🤣🤣🤣Huyu ni wa tayana forever and always uduguuu pepo ashendwee!
NdiyoAu sio
Babeee wee ndo huyu? Nilijua wee ni tall, dark, n kauchebee.
View attachment 2842397kwenye swala la kupigilia mimi kwakweli nimepitwa sana na wakati... haya wale ambao mnapenda kutumia mitandao kwa kificho kazi kwenu...sina ninacho hofia






Wachaa weeOyooooo!! Fanya hivyo dogo lake miye![]()
HaswaaahAongeze kwa kweli tunaweza kumpa mke wa kingoni ashindwe yeye![]()




Akisha kusimulia uje unigawie huo ubuyuuHuu mchapo nauhitaji bobo tena unisimulie kwa kituo, zile scene za maloveee ndio uzipeleke taratiiiiibu kwa kituo bila kuruka
Pole bff wangu raha zilikuzidia!!! Hiyo sio corona ni flu za mahaba hizo
Ilitakiwa shem azifyonze kwa mahaba zinaisha chap![]()





Watu weuweeeeeRaha zilikuwa nyingi simu ziliwekwa vindenge zikaachwa hukoooo ni mwendo wa kula raha tu kula kunywa ku dance![]()





UshindweeeHuyo tajiri pesa zinamchanganya alianza kwa coca wamepangana, sijui wameishia wapi?!
Ghafla kaibukia kwako![]()




👌 treeeenahWachaa wee