Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,817
- 233,249
Pole sana,Halafu mdogo wangu kuna shida moja nimepata, unikumbuke kwenye maombi yako please!
Unitamkie kunyanyuliwa nina imani nitapokea!![]()
Ni shida gani hiyo?
If you're comfortable to share you're welcome,feel free...kabla wingu halijakata.
Kuna kaupako na kanguvu natembea nako hizi week 3 za fasting prayers.
Mungu aonaye sirini amesikia haja yako na atakujibu.
Ntakuweka kwenye maombi na Bwana atatenda naamini.
Sent using Jamii Forums mobile app
