Khaaaa!! 😂😂😂😂connection tunafanyia wazi wazi pale korido za KAHUMBA.
😂😂😂😂haha jf ingekuwa ngumu sana
Yaani hako ka nguo ni kukainua tu juu 😄 Antonniasasa usiombe ageuke na hicho kinguo
Uza BMW yake asikutanie




alikopa FINCA, lipo huko km dhamana.





ndio sababu ya kwenda chaka😂😂😂😂
na wale warembo wa kugugo



wote wake kawalala Hyatt na johari rotana.





HahaaaAh kudadadeki Kapachino mambo iko huku 🔥🔥🔥🔥 melo ana watoto aiseee
😂😂😂 Si wamekimbia wenyewe ss hivi wanatuzoom tyuuu!!Muongoo wee![]()
Melo akisema aanze kukusanya mahari hapa ata kimbia maana ana miliki vitu 🔥🔥🔥🔥🔥😄Hahaaa
Acha kunijaza ww🤣
🙌BalaaaaDr ana swaggz zake town,![]()
😜 usinambie?!!alikopa FINCA, lipo huko km dhamana.
Yaan tuna maisha magumu balaaa, ndoa ni changamotooo, vimada na toleo jipya wame msaula vya kushato, leo nahangaika mie.
![]()
Lekcharaaaa upooo? Vipi wapiiii hiyooo





