cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,101
- 181,132
Nilikuwa namuita DMX wa Mwandiga
Ana cap yake ya red anasema alinunua mnadani![]()



khaaahJamani jamani hizo simple ni za taifa kila mtu anazo😀😀Mkuu hii simple mbona kama yangu walinianulia vijana?
Piga kazi mkuu, afu baadaye tuombe na kutolea 😀😀
Muachee cazee angu,



Nimetupia zangu hivi, weekending..🩳



Ni mbuzi wawili tu mkuu😀😀Kwa kweli mi nataka nikuoe nipe muongozo.
😀😀 mdogo angu sijaona ya kwako mpaka sasa
Unyamaa mwingii sis.




HahahahahaNimejibu mkuu😀
HahahahaNi mbuzi wawili tu mkuu😀😀
Jambo Afande!TunajaribuView attachment 2817482
Hamna bei hata 😀Hahahaha
Hahahaha,kwakua kaniwahi basi, mie ningetoa Ng'ombe 4 ,Mbuzi mmojaHamna bei hata 😀
Ukiweka usisahau kuni tag kaka yako nione kama umeongezeka kilo,kilo za mzigo.![]()



unataka kuona kishunduuu?? MfyuuuhInakuja soon dear sis,mdogo angu sijaona ya kwako mpaka sasa


🤣🤣🤣🤣 utaua mtuAchana naye akaendeleze utoto wake huko MUST 😂😂😂😂
Hahahah inaitwa panyalodi styleNimetupia mtupio huo leoView attachment 2817525