Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 77,104
- 165,306
Oyaaa wanpandisha midadi.....Vitu apendavyo Evelyn Salt View attachment 2839367
Oyaaa wanpandisha midadi.....Vitu apendavyo Evelyn Salt View attachment 2839367
Sogelea mlimani City hapa tunywe my wanguOyaaa wanpandisha midadi.....
My sister Dr Lizzy ur 🔥🔥🔥🔥, sema mgeni nita kufa kwa njaa maana sioni ka msosi😆😂
😁😁☺️Nilivyoona ya tu nikajua lizz😍🔥
mie mwenzako nikinywaga nakua.....🤣🤣🤣Sogelea mlimani City hapa tunywe my wangu
Nitakubeba my 😂🤣mie mwenzako nikinywaga nakua.....🤣🤣🤣
Aisee SI ndo nita kinda nife, maana ana pika ka ugali ka mtoto huyo🤣🤒😊😊😊
Usijali ntakupeleka ukale kwa jirani!😁
Yes bruhMkuu hiyo ni mercedes?
Haya njoo ule...ila portion ni ile ile. 😁😁Aisee SI ndo nita kinda nife, maana ana pika ka ugali ka mtoto huyo🤣🤒
Nice, sema portion yangu Ina bidi izidishwe Mara 5, ili kuliNda afya ya mgeni😃😆Haya njoo ule...ila portion ni ile ile. 😁😁
Uncle ameshatengeneza kachumbari!🙂
View attachment 2839447View attachment 2839448
Sasa si tutakula mpaka cha kesho kutwa??? Njoo ukiwa umeshakula!😁Nice, sema portion yangu Ina bidi izidishwe Mara 5, ili kuliNda afya ya mgeni😃😆
Msi niseme, msi nishangae, msi nitenge, Msiniseme Kama napenda kula😃😂😆Sasa si tutakula mpaka cha kesho kutwa??? Njoo ukiwa umeshakula!😁
Kwa maana hiyo kwamba ninakojolea pazuri?Nimeona picha yake huko nyuma. Ni mzuri🔥🔥.
Ujue uzuri unazidi kuongezeka zamani sio sasaAweke mara ngapi
Na kiuno chakeNilivyoona ya ua tu nikajua lizz😍🔥
Onyesha😁Nionyeshe mfano! 😶🌫️
Hadi nimetamani wali maharage😍Haya njoo ule...ila portion ni ile ile. 😁😁
Uncle ameshatengeneza kachumbari!🙂
View attachment 2839447