Umevaa nini leo? Tupia uturingishie

Umevaa nini leo? Tupia uturingishie

[emoji23][emoji23][emoji1544][emoji1550][emoji1550]
Screenshots_2023-12-11-03-21-09.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
IPhone tunanunua mlimani city za makumbusho fake, kkoo wako kina Mr matelephone [emoji23][emoji23][emoji23]
Udugu bday yako lini tumpange shem akupe funguo hata ya vits ila Antonia atatubana na hips lake [emoji23][emoji23][emoji23]
B'day yangu ni 17/12 uduguuuu
Next week nazaliwa upyaaa.

Andaeni zawadiii bas.
 
Nakuombea uzaliwe upya kweli [emoji3][emoji3][emoji3]
Uache na hekaheka zote aunt yangu uache kupenda ubuyu pia [emoji23][emoji23][emoji23]
Shangaziii ubuyuu siachii, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Watu wamenikatazaa wee, ikabidii niwaambie "kati ya nyie na ubuyuu, nachagua ubuyuu""

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom