Sheillah Sheillah
JF-Expert Member
- Jun 17, 2020
- 695
- 1,803
😍😍Asante mpenzi! ☺️☺️
Nakupenda pia 😘
😍😍Asante mpenzi! ☺️☺️
Nakupenda pia 😘
Mimi labda niweke za throwbackNawe tu bless
Ata za 1960 wekaMimi labda niweke za throwback
Sawa mtani jioni njema
Hizo hizoMimi labda niweke za throwback
Aweke mara ngapiMke wangu Hannah akiweka hapa Leo mbona jf itatetemeka
Leo watoto wafurahie uwepo wa DaddyHahahah nabarizi tu kilingeni Msata nimeacha yote ya ulimwengu huuView attachment 2838710
Sent using Jamii Forums mobile app
Tunasubiria..... 🙂Mimi labda niweke za throwback
Unajua kwanini tuna vioo majumbani na wengine kwenye mapochi? Kupendeza!
Unajua ni kwanini mara nyingi huchagua viwalo? Kupendeza!
Unajua kwanini baadhi yetu hupenda watu watuangalie na kutusifia? Kupendeza!
Hebu tupia ulichovaa leo iwe saa, miwani, wigi, kiatu ama nguo yoyote ile na urembo wowote ule..
Kama huna basi tupia hata cha mtandaoni unachoona aliyevaa kimemtoa kwatu na kupendeza sanaView attachment 2817216
Sent using Jamii Forums mobile app
View attachment 2817248
😍😍View attachment 2838553
Super Sunday
Ngoja niwekeAta za 1960 weka
Nimeona picha yake huko nyuma. Ni mzuri🔥🔥.Mke wangu Hannah akiweka hapa Leo mbona jf itatetemeka
SawaHizo hizo
NangojeaSawa
Hata wa online wote sijawaona lkn haibadili dhanayaan Kuna Moja nimeona lips tu mpaka saiv zinazunguka kichwani
nkifunga macho naziona zileeeeeeeee



poleeeKwa kweli,Sio kila siku unalia kwa KIJIKO... Siku zingine tujaribu kula kwa MKONO ... Tubadili ladha




Cjaonaa shouzzz akee, hebu nishawishii nieke tena breach.Mama la mama cocastic Tayana-wog hivi nikiweka breach chogo langu ntapendeza kweli?
Evening wapendwa!

