Umevaa nini leo? Tupia uturingishie

Umevaa nini leo? Tupia uturingishie

FB_IMG_1701863402798.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jombaaa wenzako tunachukua za kukodi unalipa kwa wiki unamega tunda muhimu uwe na show money ya kumtingishia. Baadae unarudi kwenye SunLoG
dah mwanangu huo uwekezaji mbona mkubwa na huku uswazi ukiwa na gari wanakushobokea wenyewe hawajui hata aina za magari.

Sema nini .pisi za jf wanatia ngumu sana kutunuku papuchi kwa mabaharia wa jf bora watoe kwa bodaboda kitaa bure
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom