Hata wa online wote sijawaona lkn haibadili dhana 🧔yaan Kuna Moja nimeona lips tu mpaka saiv zinazunguka kichwani🤣nkifunga macho naziona zileeeeeeeeekwan watu wa offline wote umewaona?.
Na bila wewe kum-quote ningemkosa!Si nikajua jana Dr avokuomba umbles ndio umemuita akuje umbles nikakaa standby hapa jamani🙇🤠!
Sio kila siku unalia kwa KIJIKO... Siku zingine tujaribu kula kwa MKONO ... Tubadili ladhaUwanja wa vita mbna haupoo?![]()
😁😁uchawa umeanza lin? Mbna ghafla sana?
Nimekuzoom halafu nikasema Hiiiiiiiiiiiiiiiiiii.Kubabeki! 😂😂 kuna mtu aliniambia kwanini situpii picha kwenye ule uzi wa picha nikamwambia mimi siku nikiweka picha tu lazima kuna mtu atajitokeza anaenifahamu!
Jamani wakuu mnaona mnaonaaa! 🤦🏻♀️
asante kwa taarifa mkuuKaweka ambapo pameumbika huko chini ni hamna kitu...![]()
Ahh kdddddek


Mkuu hiyo ni mercedes?Wagwan"*
Babu we mmbea sana...😂asante kwa taarifa mkuu
Sijajua mmbea kivipi mkuu na wewe ndio umenipa hizo taarifaBabu we mmbea sana...![]()
Ulitakiwa uzisome uziache wewe kuziacha umeshindwa..🤣Sijajua mmbea kivipi mkuu na wewe ndio umenipa hizo taarifa
Nimeziacha mkuu sema nikaona sio poa nisipokushukuru kwa hiyo taarifaUlitakiwa uzisome uziache wewe kuziacha umeshindwa..![]()
Jombaaa wenzako tunachukua za kukodi unalipa kwa wiki unamega tunda muhimu uwe na show money ya kumtingishia. Baadae unarudi kwenye SunLoGHii inanipa hasira sana kutafuta chapaa. Wenye mpunga mrefu wanafaidi sana.
dah mwanangu huo uwekezaji mbona mkubwa na huku uswazi ukiwa na gari wanakushobokea wenyewe hawajui hata aina za magari.Jombaaa wenzako tunachukua za kukodi unalipa kwa wiki unamega tunda muhimu uwe na show money ya kumtingishia. Baadae unarudi kwenye SunLoG
Weka na yako basi na mimi nikuzoom niseme hiiiiiiiiiiiiii!!Nimekuzoom halafu nikasema Hiiiiiiiiiiiiiiiiiii.