herman joshua
JF-Expert Member
- Dec 30, 2018
- 1,982
- 3,248
Hii umening'iniza/umebeba hujavaa🚶🚶
Hii umening'iniza/umebeba hujavaa🚶🚶
Na mwenyewe pia mtoa mada amechangia kuharibu maana hizo picha pia anapostMtoa mada ameleta post nzuri ikikusudia MTU APOST ALICHOVAA YEYE
Ila watu wakaiharibu kwa kuanza kupost PICHA ZA VITU VINGINE na hata picha za warembo ambao wana post yao inayojitegemea......

Trobaaa ndo akina nani tena hao anne unaita wavamizi wewe 🚶🚶🚶!Nyigu si nyigu
Ni tembo cement sasa
Hebu madam tubless zile picha unasolve kemia,wale ndugu zetu janjajanja histori hakuna kuingia laboratory na wenzie akina Maghayo waone nyota kidogo
Mbna mie nilikua najua,Anne utamuweza haha!
Hio ya lekelo nilikua siijui duh!
Kazi Kweli kweli kweli!




Cjamboo mie,Cocas huyoo
Injinia kitengo maalum hujambo coca?



Acha zako wewe 😄Wazee tumestaafu mkuu!
Rasmi Tumewaachia vijana 😁!
Nipo Tanroads naswampaaa.Sijui ashapewa kitengo Coca wetu
Kapotea sana
Atubless anazunguka kwenye kiti cha ukurugenzi Tanroads




Mimi na maghayoTrobaaa ndo akina nani tena hao anne unaita wavamizi wewe!
Wazee tumestaafu rasmi Vijana uzi usiboe huu!
Haya tubless mrembo !![]()





Mpka madogo wanakuonea wivu 😄 yule aliyenyoa kule upande wa kwanza anaitwa nani 😁Ukurugenzi Tanroad 😁😁!
cocastic unaitwa utubles hukuuuu 🗣️
Kam kauwaaa kemia ipo damuniii kwa heshima yake barikiwa na kemia hio
Kabeeesa mkuu! Vijana utendeeni uzi hakii usipoe usiboe huu!Acha zako wewe 😄
Hujamalizia kusema ebhanaeeeMitoto ya kilatino kibao humu hata wewe miksa kama umechanganya damu hivi kwa mbaali maana sio kwa weupe huo 🔥🔥🔥
Hao wote form 4 Yule wakule mpoleee mlokole sana hutamuweza wee unapenda vichechee !Mpka madogo wanakuonea wivu 😄 yule aliyenyoa kule upande wa kwanza anaitwa nani 😁
Raba kali
Mwambie namsalimia siku ya graduu nakuja na maua kama broo wake sawa 😄Hao wote form 4 Yule wakule mpoleee mlokole sana hutamuweza wee unapenda vichechee !
Huyo wakwanza ndio yuko moto balaa kwenye ile sekta yakoo ana maskendo sio poaah🤠!