Umevaa nini leo? Tupia uturingishie

Umevaa nini leo? Tupia uturingishie

Mtoa mada ameleta post nzuri ikikusudia MTU APOST ALICHOVAA YEYE
Ila watu wakaiharibu kwa kuanza kupost PICHA ZA VITU VINGINE na hata picha za warembo ambao wana post yao inayojitegemea......
Na mwenyewe pia mtoa mada amechangia kuharibu maana hizo picha pia anapost


Shusha kitu Mkuu tusafishe macho
 
Nyigu si nyigu
Ni tembo cement sasa

Hebu madam tubless zile picha unasolve kemia,wale ndugu zetu janjajanja histori hakuna kuingia laboratory na wenzie akina Maghayo waone nyota kidogo
Trobaaa ndo akina nani tena hao anne unaita wavamizi wewe 🚶🚶🚶!

Wazee tumestaafu rasmi Vijana uzi usiboe huu!
Haya tubless mrembo !🙇
 
DSC_0020.JPG
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom