Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 72,021
- 177,335
Wee uduguuu namie naomba hio konekshioooo tugawane dhambi lol!Jamaa katisha afu walivyo washenzi wamememalizia na maombi 😂😂😂😂
Sema watu ni majasili sana
Wee uduguuu namie naomba hio konekshioooo tugawane dhambi lol!Jamaa katisha afu walivyo washenzi wamememalizia na maombi 😂😂😂😂
Sema watu ni majasili sana
Nakaziaaaaaaaaaaaaaaa!!Hapana iwe kwa wale wa 2008-2012 basi
Hatari sanaNakaziaaaaaaaaaaaaaaa!!
Hawa watoto waliovamia jf miaka hii ikitokea wakaungwa kule ni hatari tupu!!
Wee uduguuu namie naomba hio konekshioooo tugawane dhambi lol!
Swazniger ni habari nyingine.Stallone n![]()
Do the needful pullliiizzzzzzzzzzzzzzz!!Udugu network inasumbua nakutumia 🤣🤣🤣
Van Damme hamfikii Rambo weyee.Swazniger ni habari nyingine.
Sema Rambo naye ni mzuri sana.
Siyo Vandame huyoVan Damme hamfikii Rambo weyee.
Siyo Vandame huyo
Ni Anord Shwazniger
Mzee wa Predator, Terminator na Commando.
Van Damme yeye mzuri sana kwenye mateke.


nilisha changanya, huyu ndo commando kipensi?


Sema ulikuwa hujazaliwa enzi hizo predator inatoka😂nilisha changanya, huyu ndo commando kipensi?
Bas n![]()
🔥🔥🔥🔥🥰🥰View attachment 2824810
Mnafichaje uso jamani nimehangaikaaa! Nielekezeni 😆
Anyways wa Dodoma tukutane mnadani.
Tuko mizungukoni rafiki.Mbona uzi umepoa sana ndio mpo busy na maconnection?
Sema ulikuwa hujazaliwa enzi hizo predator inatoka
Vandame wa kawaida sana
Hata Seba wa misukosuko anaweza kumnyuka



hebu kuwa na adabu weyee.