Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 45,331
- 95,713
HahahahahaUnataka kuangalia binti anavyo RAP kwanza?🤣
HahahahahaUnataka kuangalia binti anavyo RAP kwanza?🤣
Hapana iwe kwa wale wa 2008-2012 basiHalaf tujoin wale miaka 2014 kurudi nyuma 😝 wageni marufuku
Acha ikupite tu,baadhi ya bongo ladies bongoz zao ni kituko.
Naomba iwe kwa verified members only.Hapana iwe kwa wale wa 2008-2012 basi
Sawa sawaNaomba iwe kwa verified members only.
Sitopitwa...
Subiri wanakujaNatafuta marafiki, tuteketeze hizi karatasi za mzungu,...[emoji23][emoji23]
Hahahahahaha
Mie niko Cape town fish market hapa
Hapana iwe kwa wale wa 2008-2012 basi
Vigezo nyie wa 2014 kuendelea bado sana, kule tukae wale wa kuanzia 2008 mwisho 2012 . Si zaidi ya hapo, watoto mtulieWeeee sisi je tulikuwa kule kitambo lazima tuwepo
Kama hana nitampatia uongeze dhambi.Kwani anayo? 🤣🤣🤣
Tupeni hizo dhambi basi tuangalie style khaaa!!! Mnavyobania utasema nyie ndio mliomkula gigy?!! 😂😂😂
Sina aisee, naitamani🤣🤣🤣Kwani anayo? 🤣🤣🤣
Tupeni hizo dhambi basi tuangalie style khaaa!!! Mnavyobania utasema nyie ndio mliomkula gigy?!! 😂😂😂