Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 43,242
- 90,420
HahahahahaUnataka kuangalia binti anavyo RAP kwanza?š¤£
HahahahahaUnataka kuangalia binti anavyo RAP kwanza?š¤£
Hapana iwe kwa wale wa 2008-2012 basiHalaf tujoin wale miaka 2014 kurudi nyuma š wageni marufuku
Acha ikupite tu,baadhi ya bongo ladies bongoz zao ni kituko.
Naomba iwe kwa verified members only.Hapana iwe kwa wale wa 2008-2012 basi
Sawa sawaNaomba iwe kwa verified members only.
Sitopitwa...
Subiri wanakujaNatafuta marafiki, tuteketeze hizi karatasi za mzungu,...![]()
Hahahahahaha
Mie niko Cape town fish market hapa
inawatesa mnaweza kunipatia maombi yenu,unasindikiza na picha/jina la umpendaye hapa kwenye uzi kabla sijaingia humo kushusha maombi
Hapana iwe kwa wale wa 2008-2012 basi
Vigezo nyie wa 2014 kuendelea bado sana, kule tukae wale wa kuanzia 2008 mwisho 2012 . Si zaidi ya hapo, watoto mtulieWeeee sisi je tulikuwa kule kitambo lazima tuwepo
Kama hana nitampatia uongeze dhambi.Kwani anayo? š¤£š¤£š¤£
Tupeni hizo dhambi basi tuangalie style khaaa!!! Mnavyobania utasema nyie ndio mliomkula gigy?!! ššš
Sina aisee, naitamaniš¤£š¤£š¤£Kwani anayo? š¤£š¤£š¤£
Tupeni hizo dhambi basi tuangalie style khaaa!!! Mnavyobania utasema nyie ndio mliomkula gigy?!! ššš