Umevaa nini leo? Tupia uturingishie

Umevaa nini leo? Tupia uturingishie

Mzigo atakupatia vipi nikimpatia?


Kwahiyo nijilinde kwa kumfungulia uzi tena?🤣 alaf
Wifi yako leo hajaenda kazini anaumwa na hospital hataki kwenda anahofia sindano(nahisi kamiss tu sindano isiyoumiza) na naona hali ya hewa yenu hapa inaumiza tu muda wote hata huyu ninaemsubiri na lugha yake ngumu naona hii meeting haitoenda.
Wewe mpe tutajua sisi jinsi ya kupeana 😜
Hakikisha mzigo wa kueleweka sasa!!
Sindano ulizomdunga zimeanza kuleta matokeo mapema mbona?!!! 🤣🤣🤣
 
378b4417-0b07-4249-b38f-803ab6d71b2d.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jana ulikuwa moto sana 5G. Lkn nikagundua napambana na Anonymous persons.
Zinawekwa sura hatari hutuki kama hu boost na vumbi la Congo.
Halafu kukawa na mvua umeme ukakata. Yaani. PM wamebana. Sasa kwa shangazi utaishia kuona online tu.

Kuna avatar za kike humu balaa.
🤣🤣🤣🤣
 
Wewe mpe tutajua sisi jinsi ya kupeana 😜
Hakikisha mzigo wa kueleweka sasa!!
Sindano ulizomdunga zimeanza kuleta matokeo mapema mbona?!!! 🤣🤣🤣
Sawa,ila nikionana naye nitajitahidi uwe mzigo wa kueleweka ila kiasi hakitoshinda chake🤣.

Kuhusu sindano achana na nazo maana ni dhambi kwako kuvutia hisia kitu ya kaka na wifi yako🤣
 
Sawa,ila nikionana naye nitajitahidi uwe mzigo wa kueleweka ila kiasi hakitoshinda chake🤣.

Kuhusu sindano achana na nazo maana ni dhambi kwako kuvutia hisia kitu ya kaka na wifi yako🤣
Fanya chap 😋😋😋
Mi nilikua nakazia tyuu bro wala siwez kuvutia hisia 😂😂😂
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom