Umevaa nini leo? Tupia uturingishie

Umevaa nini leo? Tupia uturingishie

Jana ulikuwa moto sana 5G. Lkn nikagundua napambana na Anonymous persons.
Zinawekwa sura hatari hutuki kama hu boost na vumbi la Congo.
Halafu kukawa na mvua umeme ukakata. Yaani. PM wamebana. Sasa kwa shangazi utaishia kuona online tu.

Kuna avatar za kike humu balaa.
Na Leo waendelee naile kasi ya jana ! Ila waweke zao halisi
 

Attachments

  • Screenshot_20231122_132630.jpg
    Screenshot_20231122_132630.jpg
    43.3 KB · Views: 8

Similar Discussions

Back
Top Bottom