Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 39,540
- 95,123
Tunataka mturingishie mafoto haya turingishieni 😂😂😂😂Kabisa uduguuu blah blah nyizi zitafanya uzi ufungwe!
Tunataka mturingishie mafoto haya turingishieni 😂😂😂😂Kabisa uduguuu blah blah nyizi zitafanya uzi ufungwe!
Hatuwezi kuuza mdogo wangu🤣Tunakoelekea atauza sio kwa uzuri huo 😂😂😂
Tutalala nje nakwambia
Bado hamjafika 😂😂😂Wee tunatosha tupia😂
Tupia wataikuta uduguuu!Mkifika kumi humu mseme nitupie foto yangu na Kantry 😜
😂😂😂 kwa moto huo wa wifi utauza weweHatuwezi kuuza mdogo wangu🤣
Nimekamatika muda huu ghafla hata pic's zinanipita,njoo unisaidie kufukuzia mavumba nusu tumpatie mchumba.
Akhu nataka nitupie wote mkiwepo ili nifute chap 😂😂😂😂Tupia wataikuta uduguuu!
Ndio utuwekee saii sasa hao wengine wametingwa!Bado hamjafika 😂😂😂
Nina foto la kibabe nikiwa na honeyyy 🥰🥰🥰🥰
Niko na negotiate vitu na mtu hapa ila sasa uniombee pepo ya kuuza mali isiingilie maongezi🤣😂😂😂 kwa moto huo wa wifi utauza wewe
Raha kuringishia wawepo wote mpk wenye visokorokwinyo waone ili wavimbe vizuri 🤣🤣🤣🤣🤣Ndio utuwekee saii sasa hao wengine wametingwa!
Ndio utuwekee saii sasa hao wengine wametingwa!Bado hamjafika 😂😂😂
Nina foto la kibabe nikiwa na honeyyy 🥰🥰🥰🥰
Kwanza kaka tuachane na hayo wifi umempa mzigo wangu??Niko na negotiate vitu na mtu hapa ila sasa uniombee pepo ya kuuza mali isiingilie maongezi🤣
Ila Kantry ataninyonga nikirusha hiyo pic 😂😂😂😂Ndio utuwekee saii sasa hao wengine wametingwa!
Ndio utuwekee saii sasa hao wengine wametingwa!Bado hamjafika 😂😂😂
Nina foto la kibabe nikiwa na honeyyy 🥰🥰🥰🥰
Unataka part gani?????Tupia hata za zamani buana
Zote ila hips na sura zisikosekane 😋Unataka part gani?????
Anavokupenda Hawezi fanya hivo wee tubless tu jamani!Ila Kantry ataninyonga nikirusha hiyo pic 😂😂😂😂
Itabidi Melo anipe ulinzi kwanza
Kunani Tena 🤣Ndio unatoa na maneno ya kashfa rafiki?🤣
Usijali utapatiwa hata Tayana-wog ,maua,Faiza.
Sura ya baba siwekii weeh😁! Ngoja niangalieZote ila hips na sura zisikosekane 😋
Mzigo atakupatia vipi nikimpatia?Kwanza kaka tuachane na hayo wifi umempa mzigo wangu??
Afu mpk muda huu unasubiri nini kumuanzishia wifi uzi wa kumsifia?!!
Watakupora shauri yako 😂😂😂😂
Weee unanichuza? 😂😂😂Anavokupenda Hawezi fanya hivo wee tubless tu jamani!