Umevaa nini leo? Tupia uturingishie

Umevaa nini leo? Tupia uturingishie

Niko na negotiate vitu na mtu hapa ila sasa uniombee pepo ya kuuza mali isiingilie maongezi๐Ÿคฃ
Kwanza kaka tuachane na hayo wifi umempa mzigo wangu??
Afu mpk muda huu unasubiri nini kumuanzishia wifi uzi wa kumsifia?!!
Watakupora shauri yako ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Kwanza kaka tuachane na hayo wifi umempa mzigo wangu??
Afu mpk muda huu unasubiri nini kumuanzishia wifi uzi wa kumsifia?!!
Watakupora shauri yako ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Mzigo atakupatia vipi nikimpatia?


Kwahiyo nijilinde kwa kumfungulia uzi tena?๐Ÿคฃ alaf
Wifi yako leo hajaenda kazini anaumwa na hospital hataki kwenda anahofia sindano(nahisi kamiss tu sindano isiyoumiza) na naona hali ya hewa yenu hapa inaumiza tu muda wote hata huyu ninaemsubiri na lugha yake ngumu naona hii meeting haitoenda.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom