Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 36,241
- 86,942
Tunataka mturingishie mafoto haya turingishieni ๐๐๐๐Kabisa uduguuu blah blah nyizi zitafanya uzi ufungwe!
Tunataka mturingishie mafoto haya turingishieni ๐๐๐๐Kabisa uduguuu blah blah nyizi zitafanya uzi ufungwe!
Hatuwezi kuuza mdogo wangu๐คฃTunakoelekea atauza sio kwa uzuri huo ๐๐๐
Tutalala nje nakwambia
Bado hamjafika ๐๐๐Wee tunatosha tupia๐
Tupia wataikuta uduguuu!Mkifika kumi humu mseme nitupie foto yangu na Kantry ๐
๐๐๐ kwa moto huo wa wifi utauza weweHatuwezi kuuza mdogo wangu๐คฃ
Nimekamatika muda huu ghafla hata pic's zinanipita,njoo unisaidie kufukuzia mavumba nusu tumpatie mchumba.
Akhu nataka nitupie wote mkiwepo ili nifute chap ๐๐๐๐Tupia wataikuta uduguuu!
Ndio utuwekee saii sasa hao wengine wametingwa!Bado hamjafika ๐๐๐
Nina foto la kibabe nikiwa na honeyyy ๐ฅฐ๐ฅฐ๐ฅฐ๐ฅฐ
Niko na negotiate vitu na mtu hapa ila sasa uniombee pepo ya kuuza mali isiingilie maongezi๐คฃ๐๐๐ kwa moto huo wa wifi utauza wewe
Raha kuringishia wawepo wote mpk wenye visokorokwinyo waone ili wavimbe vizuri ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃNdio utuwekee saii sasa hao wengine wametingwa!
Ndio utuwekee saii sasa hao wengine wametingwa!Bado hamjafika ๐๐๐
Nina foto la kibabe nikiwa na honeyyy ๐ฅฐ๐ฅฐ๐ฅฐ๐ฅฐ
Kwanza kaka tuachane na hayo wifi umempa mzigo wangu??Niko na negotiate vitu na mtu hapa ila sasa uniombee pepo ya kuuza mali isiingilie maongezi๐คฃ
Ila Kantry ataninyonga nikirusha hiyo pic ๐๐๐๐Ndio utuwekee saii sasa hao wengine wametingwa!
Ndio utuwekee saii sasa hao wengine wametingwa!Bado hamjafika ๐๐๐
Nina foto la kibabe nikiwa na honeyyy ๐ฅฐ๐ฅฐ๐ฅฐ๐ฅฐ
Unataka part gani?????Tupia hata za zamani buana
Zote ila hips na sura zisikosekane ๐Unataka part gani?????
Anavokupenda Hawezi fanya hivo wee tubless tu jamani!Ila Kantry ataninyonga nikirusha hiyo pic ๐๐๐๐
Itabidi Melo anipe ulinzi kwanza
Kunani Tena ๐คฃNdio unatoa na maneno ya kashfa rafiki?๐คฃ
Usijali utapatiwa hata Tayana-wog ,maua,Faiza.
Sura ya baba siwekii weeh๐! Ngoja niangalieZote ila hips na sura zisikosekane ๐
Mzigo atakupatia vipi nikimpatia?Kwanza kaka tuachane na hayo wifi umempa mzigo wangu??
Afu mpk muda huu unasubiri nini kumuanzishia wifi uzi wa kumsifia?!!
Watakupora shauri yako ๐๐๐๐
Weee unanichuza? ๐๐๐Anavokupenda Hawezi fanya hivo wee tubless tu jamani!