Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,468
- 23,745
- Thread starter
- #21
😂😂😂😂😂 Ki starlet nini?Duh kuna siku niko kwenye foleni sambamba na kigari kimoja cha ajabu ajabu nikakiangalia like wtf! Haikupita dakika gari yangu taa ya coolant ikawaka mara mvuke kama wote! Nikapaki pembeni kile kigari kikanipita taratibu nimefungua duka! Kuna water connector ilikuwa ime crack! Aisee kile kigari sasa hivi nikikiona nakiheshimu(tunatumia njia moja)