Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,468
- 23,745
Mwaka 1998 nlipanda gari ya jamaa yangu. Benz akanishawishi sana siku hiyo twende Morogoro na gari yake akaoneshe ndugu zake ana Mercedes Benz.
Hapo kabla nlienda naye ila tulitumia gari yangu. Ile safari siwezi isahau...ilikuwa na kwikwi nyingi na chafya mfululizo gari kila baada ya muda tunakata kimeo.(kufungua bonnet kujaza maji)
Hadi raha ya safari iliisha maana tulikuwa na madumu ya maji kwenye gari na tukifika vijjini tunaenda omba maji. Tulifika Morogoro lakini kwa mbinde sana. Tulifikia hatua tukawa tunapokezana kushuka kujazia maji.yaani ile gari mtu angedhani badala ya petrol inatumia maji.
Leo nmefika sehemu moja nikawaona jamaa wamefungua bonnet Toyota Opa pembeni ya barabara wapo vijana kama 6 hivi wanaangalia kwenye bonnet gari inatoa mvuke ile mbaya.
Gari ilikuwa kama ya kujivukizia Corona. Ingakiwa miaka hii mle ndani tungeweka limao,mwarobaini na tangawizi so ikitembea mwendo flani tunaenda jifukiza.
Umewahi kutana na gari ya namna hii spana mkononi?au ndo ya kutembea na maji muda wote? Gari ya mkata kimeo.
Hapo kabla nlienda naye ila tulitumia gari yangu. Ile safari siwezi isahau...ilikuwa na kwikwi nyingi na chafya mfululizo gari kila baada ya muda tunakata kimeo.(kufungua bonnet kujaza maji)
Hadi raha ya safari iliisha maana tulikuwa na madumu ya maji kwenye gari na tukifika vijjini tunaenda omba maji. Tulifika Morogoro lakini kwa mbinde sana. Tulifikia hatua tukawa tunapokezana kushuka kujazia maji.yaani ile gari mtu angedhani badala ya petrol inatumia maji.
Leo nmefika sehemu moja nikawaona jamaa wamefungua bonnet Toyota Opa pembeni ya barabara wapo vijana kama 6 hivi wanaangalia kwenye bonnet gari inatoa mvuke ile mbaya.
Gari ilikuwa kama ya kujivukizia Corona. Ingakiwa miaka hii mle ndani tungeweka limao,mwarobaini na tangawizi so ikitembea mwendo flani tunaenda jifukiza.
Umewahi kutana na gari ya namna hii spana mkononi?au ndo ya kutembea na maji muda wote? Gari ya mkata kimeo.