Baada ya kumaliza pepa ya hesabu nikijiamini nshajipatia A+ mara nikagundua kuna swali moja nimechepuka kiduchu naweza kosa A yangu hivihivi.
Nikaamua nicancel nianze upya. ila ndo nalianza tu invijileta akasema two minutes left. Nikajikuta napiga bao wakati kikojoleo hakijasimama.
Hii kupiga bao kwenye chumba cha mtihani bila kikojoleo kudinda siyo rekodi ya dunia? Nipeni adress nipeleke hii makitu iwekwe kwenye gines book of rekodi.
jamaa wanataka uwapelekee na proof, sasa sijui kama ulikuwa umevaa condom!?
@Aspirin umepitia kitu ya Arachuga nini? Karucee upo wapi kuna mchizi mwenzio hapa
Kaka si unakumbuka mambo ya LMM (last minute method)?. ile ni sawa na kukutana ba demu kichakani afu ukamlamba ngwala ili upatemo kimoja cha fasta..... kondom labda utumie majani ya upup.u!!! (eti JF neno upupuu nalo ni tusi mpaka ukiliandika liwekwe vinyota? khaa!)
Baada ya kumaliza pepa ya hesabu nikijiamini nshajipatia A+ mara nikagundua kuna swali moja nimechepuka kiduchu naweza kosa A yangu hivihivi.
Nikaamua nicancel nianze upya. ila ndo nalianza tu invijileta akasema two minutes left. Nikajikuta napiga bao wakati kikojoleo hakijasimama.
Hii kupiga bao kwenye chumba cha mtihani bila kikojoleo kudinda siyo rekodi ya dunia? Nipeni adress nipeleke hii makitu iwekwe kwenye gines book of rekodi.
Kaka si unakumbuka mambo ya LMM (last minute method)?. ile ni sawa na kukutana ba demu kichakani afu ukamlamba ngwala ili upatemo kimoja cha fasta..... kondom labda utumie majani ya upup.u!!! (eti JF neno upupuu nalo ni tusi mpaka ukiliandika liwekwe vinyota? khaa!)