Madame B
JF-Expert Member
- Apr 9, 2012
- 29,861
- 31,889
Nilivunja rekodi nlipoenda guest demu akavua nguo zote nkaondoka bila kumfanya chochote..
Joka la Kibisa hakuinuka nini?
Nilivunja rekodi nlipoenda guest demu akavua nguo zote nkaondoka bila kumfanya chochote..
Baada ya kumaliza pepa ya hesabu nikijiamini nshajipatia A+ mara nikagundua kuna swali moja nimechepuka kiduchu naweza kosa A yangu hivihivi.
Nikaamua nicancel nianze upya. ila ndo nalianza tu invijileta akasema two minutes left. Nikajikuta napiga bao wakati kikojoleo hakijasimama.
Hii kupiga bao kwenye chumba cha mtihani bila kikojoleo kudinda siyo rekodi ya dunia? Nipeni adress nipeleke hii makitu iwekwe kwenye gines book of rekodi.
Joka la Kibisa hakuinuka nini?
Nilivunja rekodi nlipoenda guest demu akavua nguo zote nkaondoka bila kumfanya chochote..
We mchekee Madame B. atakudanganya hapa ni demu mwenzio mpange kideti cha kupiga umbea.... Ukirudi na mimba ntaenda kusema kwa mama!
ananitisha ili nisije kushuhudia yanamtokea kama yaliyomtokea Emma hapo juu hahahhaAsprin acha unafiki bhana,
Nitakosa wachumba bure humu.
Au una utani na ruttashobolwa?
Ina mana ana mpenzi mwanaume.
Njoo mwaya CUTE usiniogope.
hahahha itakua alikua na hamu sana na hakuna na uhakika kama angepewa kiasi kwamba kuona tu mchizi chaliiiiiiiii.....kajaribu style zote za amsha popo zikashindikana hahahhahha chezeyaaaa mzuka weyeJoka la Kibisa hakuinuka nini?
Mimi nilivunja rekodi ya kuwa na mwandiko mzuri shule nzima mwaka 2003 ..@ St Justine High school.
Na wewe weka rekodi yako.
Mimi nilivunja rekodi ya kuwa na mwandiko mzuri shule nzima mwaka 2003 ..@ St Justine High school.
Na wewe weka rekodi yako.