Hahahahaha
,jamaa baada ya kunipa kichapo alichange hatari, akawa good man, nikikohoa tu yupo, afu akaanza kukaba, alikuwa anashinda kwangu, anapita sokoni anafanya shopping hang'oki, akaniomba msamaha na akanitajia wanawake wote aliokuwa nao,ukiniinclude na mimi tulikuwa tumepangwa saba, akaniomba awaache polepole niweke wivu pembeni,nikamjibu sawa, aliwaacha mpaka tukabaki miye na mwarabu, ila ile nimemaliza chuo tuu, nikachange namba, block him everywhere, kaja kupata namba yangu wakati ambao am about to get married, nilimtoaje ndukii?