Umeshawahi kupigwa na mpenzi wako?

Umeshawahi kupigwa na mpenzi wako?

Niliwah kumpiga mpenz angu kibao cha shavuni hadi vidole vikajichora shavuni alilia sana alitaka kuondoka usiku huo maneno aliuokua anaongea yaliniumiza sana mana anasoma arusha ..sasa mm nilikua narud night kali sa akaniuliza unaendaga wap?ndo hapo nilipo mnasa kibao alilia machozi yakimtoka akisema umenitoa arusha nimekufata dar nimeacha masomo leo unanipiga hivi ww ndo unaniahid kweli utanioa si utakuja kuniua?<br />Niliishiwa nguvu nakujilaumu sana ...alitaka kuondoka usiku huo nikafunga mlango funguo nikaitia kwenye jeans nilimbeleza usiku kucha na kumwambia ni shetani hakunijibu alilia tu nashukuru mungu palipo kucha hasira zilikua zimsmpungua hivyo alinielewa na kunisamehe na mpak leo niko nae..
 
Men should observe this, utampigaje mke wako bwana!

0ad55c3bae649e93ac70bc6500ec90eb.jpg

How about no one should put their hands on anyone?

Sounds more fair to me...
 
mi huwa namtafutia kisa mpenzi wangu ili nimdunde lakn wapi, huwa sipati kila akijaa najikuta namhurumia.sijui nifanyeje,
[emoji23] [emoji23]

Siku mtandike tu bila hata kosa then jifanye umelewa.

# dont hit wmen
 
Ukimpiga mkeo akitoka manundu, meno yakitoka. Kesho mkipatana utaanza wew kuona aibu na kukosa aman hata ku hang out naye.

Nina njia mbadala ya kushow how much nimekelwa.
 
Niliwahi kupigwa tena kichapo heavy sitasahau,mdomo uliumuka kama ulimboka na sakata la madaktari,Ilibidi nizuge home kuwa nilivamiwa na vibaka,kisa cha kupigwa ni kwa sababu nilikuwa nimemchoka jamaa,alikuwa muhuni sijapata ona,tulikuwa tumepangwa kama mia 8 hivi,nilipoacha kujibu sms zake na simu alinifata hostel kuniuliza tatizo nini,nikamwambia nimeamua kumove on,asee alinipiga jamani,akanambia nichague kumuacha aniue ajiue na yeye,au nimsamehe kwa yote maisha yaendelee,ilibidi niwe mpole,nikamwambia nimekusamehe ili tu asiendelee kunipiga,Tulivyomaliza chuo nilitokaje ndukii?Nilichange mpaka phone No.ili tu asinipate khaa....Wanawake tunanyanyaswa sana

ulikuwa tu unampenda! unamwambia umemsamehe ila action zako [emoji1] visevesa, akipiga simu hupikei kwa wakati, usiku unamwambia unazimasimu saa 2, asipokuoigia usijiguse/akipiga unaitika hello darling) kila akituma sms unaijibu kwa please call me, akikuambia usiku mwema unajibu sawa mwaya[emoji85] , akikutukana unajifanya hujachukia unacheka hata ukimfumania, ukichagi simu unaizima kabisa, akikuita faragha usikatae hujigusi afanye yake aondoke(no hags no what) akikutoa out usiseme asante, hata apendeze vipi usimsifie , chengaaa kama analogy atakuacha mwenyewe mchana wa saa saba kamili
 
hawa dada zetu wakat mwingine huwa wanaudhi ss wanaume weng wetu huwa hatuna maneno sana. Sasa unakuta mwenzako anakujibu shit, mara akuambie huyu mtoto si wako, mara kwan na ww ni mwanaume au mwanaume surual yaan unajikuta umeachia kofi hilo dada.
Wakat mwingine msitujibu kwa dharau unajua mpaka mwanaume kukupiga amekuvumilia sana na amechoka kukusikiliza
 
hawa dada zetu wakat mwingine huwa wanaudhi ss wanaume weng wetu huwa hatuna maneno sana. Sasa unakuta mwenzako anakujibu shit, mara akuambie huyu mtoto si wako, mara kwan na ww ni mwanaume au mwanaume surual yaan unajikuta umeachia kofi hilo dada.
Wakat mwingine msitujibu kwa dharau unajua mpaka mwanaume kukupiga amekuvumilia sana na amechoka kukusikiliza
Wanaume wengine wana panic tu bila sababu ya msingi unakuta mtu kakupa makofii
 
Wanaume wengine wana panic tu bila sababu ya msingi unakuta mtu kakupa makofii

kweli dada hao wapo.
ila sema ukweli nyie wanawake mnamajibu ya nyodo duh!
Mm yashawahi kunikuta kwa wifi yako siku hiyo siwez kuhisahau nilichambwa. Nakiri nilimkosea lkn duh, nikaomba msamaha bado naendelea kuchambwa ilikuwa kweny simu. Siku hiyo duh! Alinichamba sana mpaka hasira zake zikaisha tukayamaliza tangia siku hiyo hatujawah kuingia kweny hii situation tena mpaka leo. Ukishajua mwenzako anapenda nn na hataki nn hamuwez kupigana
 
kweli dada hao wapo.
ila sema ukweli nyie wanawake mnamajibu ya nyodo duh!
Mm yashawahi kunikuta kwa wifi yako siku hiyo siwez kuhisahau nilichambwa. Nakiri nilimkosea lkn duh, nikaomba msamaha bado naendelea kuchambwa ilikuwa kweny simu. Siku hiyo duh! Alinichamba sana mpaka hasira zake zikaisha tukayamaliza tangia siku hiyo hatujawah kuingia kweny hii situation tena mpaka leo. Ukishajua mwenzako anapenda nn na hataki nn hamuwez kupigana
Kweli kabisa mkishajuana kwenye mapenzi mnaenda sawa japo kuna mengineyo
 
Back
Top Bottom