Umeshawahi kupigwa na mpenzi wako?

Umeshawahi kupigwa na mpenzi wako?

Hahaha ungerudisha tu jamani, ung'olewe meno

na ningeng'olewa kweli maana ilikuwa balaa,unajua mtu ambae hujawahi kumuona kakasirika anakasirika kiasi kwamba mishipa inaonekana usoni, alafu umrudishie!! haki utavimbishwa kila mahali,, so ilibidi niwe mpoleee!
 
Mimi nikimpiga mpenzi wangu najisikia raha sana hata kama nilikuwa na hasira kutoka sehem yoyote zinaisha tena nikimpiga mpaka

"akasema utaniua mpenzi wangu"

Hapo kiroho changu safi(nawachukia sana mademu)[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Hahaaaa..Mademu wamekufanya nn mkuu
 
jamani jamani!! thats not okey, usipige bwana.

Wanawake wapo kama watoto...kuna wakati wanawashwa kupigwa,atakuwa anajibu ovyo,anaweza hata kukutukana,kulialia ovyo,anaweza fikia mahali hata akakupiga ili tu umkung'ute...ukimpiga ataliaaa halaf machozi yakikata moyo unakuwa safiii...Halaf unamkamata unamla kiukweli...moyo unakuwa kwatu!unamuona anarudi normal na mapenzi tele!
 
Mimi sijawahi kupigwa. Na wala siji kupigwa. How come eti mpenzi, mume anakupiga? I can not imagine! Primitive, insane, mtu mzima uwa hapigwi. Anayepiga na anayepigwa: mmeathirika kisakologia. Professional counselling is inevitable. Insane[emoji1540]
 
Mwanaume wa kweli hampigi mwanamke.

Bali mwanaume mpmbv asie jielewa ndio huweza mpiga mwanamke.

Kumpiga mwanamke ni sawa na mwanaume anaepigana na mtoto mdogo, na kujigamba kua amempiga.


WITO ;

wanaume mnaopenda kupiga wake zenu au hata girlfriend zenu, tafadharini acheni hio kitu.

Mwambie kwamba umeudhika, sema nae kwa hekima. Najua atakuelewa kwa maana maneno yananguvu sana, ila kama hatokuelewa na jambo hilo kujirejea, mara zote na hatakikukuelewa tafadhari muache kwa amani zote huyo 'girlfriend'
Na uombe MUNGU akuongoze iliuwze kupata mwingine.

Ila ikiwa ni mke wako ongea nae kwa staha pia kumbuka, Upendo unanguvu kushinda mauti. Bila shaka atakuelewa.


Hasira ni hasara, UPENDO WA KWELI HUTUPA MBALI HOFU!
 
Niliwahi kupigwa tena kichapo heavy sitasahau,mdomo uliumuka kama ulimboka na sakata la madaktari,Ilibidi nizuge home kuwa nilivamiwa na vibaka,kisa cha kupigwa ni kwa sababu nilikuwa nimemchoka jamaa,alikuwa muhuni sijapata ona,tulikuwa tumepangwa kama mia 8 hivi,nilipoacha kujibu sms zake na simu alinifata hostel kuniuliza tatizo nini,nikamwambia nimeamua kumove on,asee alinipiga jamani,akanambia nichague kumuacha aniue ajiue na yeye,au nimsamehe kwa yote maisha yaendelee,ilibidi niwe mpole,nikamwambia nimekusamehe ili tu asiendelee kunipiga,Tulivyomaliza chuo nilitokaje ndukii?Nilichange mpaka phone No.ili tu asinipate khaa....Wanawake tunanyanyaswa sana

la Princesa;
Pole dadangu. Dah! Hutasahau kweli siku hiyo. Sasa, tangu siku hiyo hakuna mwingine aliyewahi tena kukufundisha adabu??
Wadhani kumjibu mtu live hivyo kuwa umeamua kula hamsini zako ulifanya vyema? Next tyme jifanye hata ulikuwa na paper flan uliyokuwa unaikariri au ka ni leo mwambiye kuna kitu umekula kinakusumbua tumboni hivyo kikiisha tu utamtafuta haraka. Halaf ubadili sm na makazi
 
Naona asilimia kubwa huku walishaonja joto ya jiwe, daaah sipati picha siku na mie nikikutwa na bwana Pepsi jamani, kibao cha mwanaume Mmmmh, Mungu pitisha mbali
 
Nashukuru sijawahi kupiga msichana though wanakera aisee,, ila nikikasirika namkazia sura mpaka anatetemeka,, kaah wanakera hawa viumbe jamaan,, yaan wanakua kama na hamu ya kupigwa,,,

Kuna siku eti ananiambia "jana nlivyokukera nikajua utanipiga" nami namuambia nguvu zangu sio kwa ajili ya kumpiga mwanamke
 
Wanawake wapo kama watoto...kuna wakati wanawashwa kupigwa,atakuwa anajibu ovyo,anaweza hata kukutukana,kulialia ovyo,anaweza fikia mahali hata akakupiga ili tu umkung'ute...ukimpiga ataliaaa halaf machozi yakikata moyo unakuwa safiii...Halaf unamkamata unamla kiukweli...moyo unakuwa kwatu!unamuona anarudi normal na mapenzi tele!
Yes wanawake wapo kama watoto, means hua hawakui.

Na ndio maana sikuzote mkiwa wawili hupenda mambo mengi ya kitoto-toto.

Na hio ndio furaha yke, akilia m'bembeleze, talk to her vizuri, m'bembeleze, msifie muite majina mazuri mpende uone kama atakujibu jeuri.


Yeye nae ni mtu anahitaji kuheshimiwa na sio kupewa 'command'

Ile kwamba ni mkeo basi lazma um-command hio, basi atjiona mtumwa kinachofuata hapo ataanza kukudharau taratiibu!


#BeRomantic
 
Wanawake bana wana kero sana na akili zao sijui zikoje ila kuwapiga hapana, mie nikikereka huwa natoka zangu nje au naenda sehemu kupiga story hata nikirudi hasira zishaisha na nishasahau
 
Back
Top Bottom