Umeshawahi kupigwa na mpenzi wako?

Umeshawahi kupigwa na mpenzi wako?

Sikuwai kufikiria kumpiga ktk maisha yang,na niliapa ivo,sijui that day ilikuaje mkuu,.


Wakati mwingine kero zinazidi mkuu najua ilikuwa hasira tu..mimi nikiwa na hasira napata kigugumizi nikiona hivyo tu nakimbilia maji haraka kushusha temper...kama kero ilikuwa inajirudia kila mara baada ya hapo nikifuta # yake anisahau tena kwenye maisha yake
 
Mimi nikimpiga mpenzi wangu najisikia raha sana hata kama nilikuwa na hasira kutoka sehem yoyote zinaisha tena nikimpiga mpaka

"akasema utaniua mpenzi wangu"

Hapo kiroho changu safi(nawachukia sana mademu)[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Heeeee!
 
jamani jamani!! thats not okey, usipige bwana.
Asee mwanamke ambae sijampiga hata mara moja huyo simpendi.Kumpiga mpenzi wako inaimarisha bond ya mapenzi yenu.Ila usipige kama unaua nyoka au mara kwa mara kwa uonevu.Ukiona anawashwa kulia unampa makofi mawili matatu yakumfanya alie asafishe moyo wake..hata kama alikuwa ana mambo yake mengine ya kimaisha na machungu yake anapata pa kulilia yote na kuufanya moyo wake uwe mweupe na kifua chepesi...halaf akimaliza kulia unampa mahaba motomoto ya kitandani.Kesho yake anaamka mpya...!
 
hapana kwakweli hiyo haikubaliki.

Asee mwanamke ambae sijampiga hata mara moja huyo simpendi.Kumpiga mpenzi wako inaimarisha bond ya mapenzi yenu.Ila usipige kama unaua nyoka au mara kwa mara kwa uonevu.Ukiona anawashwa kulia unampa makofi mawili matatu yakumfanya alie asafishe moyo wake..hata kama alikuwa ana mambo yake mengine ya kimaisha na machungu yake anapata pa kulilia yote na kuufanya moyo wake uwe mweupe na kifua chepesi...halaf akimaliza kulia unampa mahaba motomoto ya kitandani.Kesho yake anaamka mpya...!
 
Sikh ya eid ilopita alinifungia chumbani akanambia Leo hapa hutoki then mda huo waumini wananisubiri kwa ajili ya ibada. nikajitahidi kumbembeleza lkn wapii mpk waumini wakaja wakawa wanagonga mlango ndo akafungua ....yaani hawa viumbe sijui hata niwazungumziaje
 
hahahaaa!! kisa nikikisema hata wewe waweza hata nitukana acha tu nisikiseme.

Daaah...ha ha ha...hilo linaonyesha ni bonge la drama. Basi njoo PM mpendwa uninong'onezee huko huko ili kama kweli ikibidi hata kukutukana kidogo basi nikutukanie huko sio hapa sebuleni. Usichelewe kuja pm basi bi atoto
 
ndio wapi huko!?? nitumie nauli.

Daaah...ha ha ha...hilo linaonyesha ni bonge la drama. Basi njoo PM mpendwa uninong'onezee huko huko ili kama kweli ikibidi hata kukutukana kidogo basi nikutukanie huko sio hapa sebuleni. Usichelewe kuja pm basi bi atoto
 
Asee muda mwingine hawa mabinti wanakera mpaka basi
Nakumbuka kuna siku natokea job nimechoka balaa
Kufika tu getini nakuta ananisubiri kwa hamu basi kikaanza kichambo tena kisa kitu kidogo tu
Mie nikamwambia bebe tumuepushe shetani tukaongelee ndani
Hapo ndio nikawa nimeuwasha moto kwa kupewa kichambo madhubuti
Ikafika hatua akawa hadi ananikwida mie namuangalia tu
Alivyoona natabasamu na kumsikitikia akachukua na begi langu nililohifadhia mambo yangu ya kiofisi akalifungua na kumwaga vilivyomo ndani
Basi nikasema mama eeh usintanie nilimpa kelebu zito basi alikwenda chini na kuzima juu....Lkn badae alivyopata fahamu nikamtwanga na soda baridiiiii usiku akanipatiamo tunda km sie yeye..
 
aah mjinga aliniletea mambo za kpimbi nilimpiga kofi moja akadondoka akanyoosha miguu akalala nkajua nimeua nkataka sepa sema kuna rafik yake alinikuta nimesmama nae aah badae nkamwinua ni mzma nikaanza muuliza maswal jibu nalijua sema na yeye hataki sema ukwel et akajidai kapandwa na hasira et "nipige sasa niue kabisa ' nikamwambia kufa hufi ila chamoto utakiona nilimla makofi huyo had akaniomba nichume fimbo nimchape kuliko nmpige uson anaogopa kuharibika reception et
 
Niliwahi kupigwa tena kichapo heavy sitasahau,mdomo uliumuka kama ulimboka na sakata la madaktari,Ilibidi nizuge home kuwa nilivamiwa na vibaka,kisa cha kupigwa ni kwa sababu nilikuwa nimemchoka jamaa,alikuwa muhuni sijapata ona,tulikuwa tumepangwa kama mia 8 hivi,nilipoacha kujibu sms zake na simu alinifata hostel kuniuliza tatizo nini,nikamwambia nimeamua kumove on,asee alinipiga jamani,akanambia nichague kumuacha aniue ajiue na yeye,au nimsamehe kwa yote maisha yaendelee,ilibidi niwe mpole,nikamwambia nimekusamehe ili tu asiendelee kunipiga,Tulivyomaliza chuo nilitokaje ndukii?Nilichange mpaka phone No.ili tu asinipate khaa....Wanawake tunanyanyaswa sana
Pole sana dada
 
Nilikuwa na mchumba wang tulipendana sana sana,lkn kuna jamaa alikua anachepuka nae nilimkanya mara kadhaa hakuelewa,na hapo tupo hatua ya mwisho kabisa ya ndoa, sasa baada ya kumsema sana akanijibu upuuzi,nikamwambia leo sitaki kukupiga,akajibu kunipiga au hutaki tupigane?,,mungu anisameh,nilimpiga iyo siku,nikampasua lips ya mdomo,nikavunja meno kama 3 iv, nikaondoka nikaenda sehemu kupumzika,ile narud jion police wakanibeba ,nilikaa sero siku 2 then mahakamn,nililipa fain kubwa sana,baada ya ile kesi kuisha nikaenda home nikahamisha kila kilicho changu,ile nyumba nikampa mtu akarudisha pesa ya miezi iliyobaki nikaenda kupanga kwingine,,nilibadili line zote,,alihangaika kunitafuta mpka akanipata.

Jibu nililompa nikamwambia kawaambie wazazi wako wakutafutie mume,make ndio walikushawishi unipeleke mahakaman na nikalipa na fain,sawa ninakosa la kukupiga lkn mambo ya police yametoka wapi?? Kingine akasema anirudishie pesa zote pamoja na fain kama kufidia,niligoma nikaachana nae,mpaka leo nasikia ni kuolewa na kuachika,, (hazai)
Hilo jike shupa
 
ukiona unAmpiga mkeo ujue wewe mwanaume dhaifu pigana na wanaume wenzako uone nundu ukishinda kulogwa utalogwa tuiu .

upendo ndo kila kitu silaha kubwa kusamehe
 
Back
Top Bottom