Umeshawahi kupigwa na mpenzi wako?

Umeshawahi kupigwa na mpenzi wako?

Men should observe this, utampigaje mke wako bwana!

0ad55c3bae649e93ac70bc6500ec90eb.jpg
Inashangaza mtani... Mwetekundana tiki!! Mkashinjia hamwe! Lol
 
nilishawahi kulambwa kofi la nguvu nikiwa jangwani sea breezes nikishangaa bint aliyeumbika kisawasawa, akitokea beach na kuja kupata shower rain, nikasahau pale kuwa nipo na my wife, niliona nyota mchana mchana
Hahaha me ningeondoka kimya kimya nikuache ushangae vizuri, tungeonana home. Tabia gani hiyo mbele ya mkeo looh, angalia kwa machale bana eeh
 
Hahaha me ningeondoka kimya kimya nikuache ushangae vizuri, tungeonana home. Tabia gani hiyo mbele ya mkeo looh, angalia kwa machale bana eeh
wakati mwingine huwa tunajisahau kabisa, network inachomoka ghafla, tungefika nyumbani ningekuruka mita 100, kuwa nilikuwa natizama kingine au nafikiria kitu flani
 
wakati mwingine huwa tunajisahau kabisa, network inachomoka ghafla, tungefika nyumbani ningekuruka mita 100, kuwa nilikuwa natizama kingine au nafikiria kitu flani
Fahari ya macho mbona ipo tu jamani, but sio hadi unasahau kama kuna mtu pembeni yako. Hahaa daah sipati picha hilo lijikofi alilokupa
 
Hahaha me ningeondoka kimya kimya nikuache ushangae vizuri, tungeonana home. Tabia gani hiyo mbele ya mkeo looh, angalia kwa machale bana eeh
huwa natizama sana kimachale, manake unaweza muona bint mkiwa kwenye gari unajifanya kama hujamuona utamsikia mwenyewe, umemuona yule dada alivyo mrembo najifanya kuuliza yuko wapi aah sijamuona kumbe nishamuona na nishatathmini uzuri wake, manake nikisema mie mwanzo basi timbwili litaibuka tu
 
huwa natizama sana kimachale, manake unaweza muona bint mkiwa kwenye gari unajifanya kama hujamuona utamsikia mwenyewe, umemuona yule dada alivyo mrembo najifanya kuuliza yuko wapi aah sijamuona kumbe nishamuona na nishatathmini uzuri wake, manake nikisema mie mwanzo basi timbwili litaibuka tu
Hahaha hiyo mbona ipo sana yeye mwenyewe ndo anakuonesha mdada mwingine. Ila Ole wako wewe ndo uanze kushangaa hadi ujisahau
 
Nilikuwa na mchumba wang tulipendana sana sana,lkn kuna jamaa alikua anachepuka nae nilimkanya mara kadhaa hakuelewa,na hapo tupo hatua ya mwisho kabisa ya ndoa, sasa baada ya kumsema sana akanijibu upuuzi,nikamwambia leo sitaki kukupiga,akajibu kunipiga au hutaki tupigane?,,mungu anisameh,nilimpiga iyo siku,nikampasua lips ya mdomo,nikavunja meno kama 3 iv, nikaondoka nikaenda sehemu kupumzika,ile narud jion police wakanibeba ,nilikaa sero siku 2 then mahakamn,nililipa fain kubwa sana,baada ya ile kesi kuisha nikaenda home nikahamisha kila kilicho changu,ile nyumba nikampa mtu akarudisha pesa ya miezi iliyobaki nikaenda kupanga kwingine,,nilibadili line zote,,alihangaika kunitafuta mpka akanipata.

Jibu nililompa nikamwambia kawaambie wazazi wako wakutafutie mume,make ndio walikushawishi unipeleke mahakaman na nikalipa na fain,sawa ninakosa la kukupiga lkn mambo ya police yametoka wapi?? Kingine akasema anirudishie pesa zote pamoja na fain kama kufidia,niligoma nikaachana nae,mpaka leo nasikia ni kuolewa na kuachika,, (hazai)
What if siku uliyompiga ndio alipata tatizo kwenye kizazi
 
Back
Top Bottom