Husninyo
JF-Expert Member
- Oct 24, 2010
- 23,723
- 9,193
Acha miguno hapa! Manake ww nahisi ndo kabaunsa ka mtaa!
hahaha! Jana mwanao bado kidogo nimtyson sema aliwahi kuomba msamaha.
Acha miguno hapa! Manake ww nahisi ndo kabaunsa ka mtaa!
Heee! Swahba upo? Umemwona mamkwe wako anantisha?
Hahaha. Nikikutana nae namlazimisha aweke gobole chini tupigane mangumi, akija na ngeu ujue ni kazi za mikono yangu...nipo swahba, huyo mamkwe ngumi haziwezi anatembea na gobole tu.
Hahaha. Nikikutana nae namlazimisha aweke gobole chini tupigane mangumi, akija na ngeu ujue ni kazi za mikono yangu...
Sitamuua, nataka tu nimwonyeshe maujuzi ya kupigana..we ukiniulia mkwe na son wake akinipga kibuti ujue tutabanana hapo hapo kwa desh desh klorokwini.
haya nini sasa ugomvi huo! Nalog offSasa washawasha, unalogoff kila baada ya post ama? Simu ya mchina? Sio nakuchokoza,bado sijafundishwa kungfu na dingi eeh.
basi usithubutu kuchokoza watu na ukimchokoza mtu basi kimbia mbio nyingi sana.Nalog offdaaah sijawahi na uoga huu niadundwa manundu kila kona
babkubwa,mbio ndio silaha ya mwisho.Nalog offmi mara nyingi naanzisha ugomvi halafu naishia mitini!!kupigana sina ujanja huo!!
Hahaha kimbia fasta.toka nduki we kimbia.....mi mara nyingi naanzisha ugomvi halafu naishia mitini!!kupigana sina ujanja huo!!
Mie kesho wallahi huenda nikapigana, kuna hayawani namdai vidani vyangu vya dhahabu! Na nitahakikisha namtovuga!
mambo zenu.Vipi wenzangu mshawahi kupigana? Ilikuwa lini? Ulipigana na nani? Kwanini ulipigana? Je ulishinda/droo au ulidundwa? Nalog off
Heheheh..
Yeahh nimewahi. Nadhani nlikua na miaka 8 then...na nlipigana na aliekuja kuwa best friend wangu throughout primary school.
Inawezekana yeye ndie alieshinda...
Heheheh..
Yeahh nimewahi. Nadhani nlikua na miaka 8 then...na nlipigana na aliekuja kuwa best friend wangu throughout primary school.
Sikumbuki sababu ila nakumbuka tulikua tumetoka shule na nlikua nimevaa ovaroli ya kigauni akashika vile vimikanda akaninyanyua juu.
Inawezekana yeye ndie alieshinda...
Miaka kadhaa baadae sijui kama naweza nilipigana ila kuna kaka yangu sijui alifanya nini nikamkimbiza sana na kumpiga na mawe.
Alafu kaka yangu mwingine yeye hatujawahi kupigana ile kupigana japo kuchokozana kulikuwepo sana ila zamani nilimvuta kwenye ngazi akaanguka na kuvunjika jino. Sasa hivi ni kama ana mwanya vile.
nipo swahba, huyo mamkwe ngumi haziwezi anatembea na gobole tu.
Sitamuua, nataka tu nimwonyeshe maujuzi ya kupigana..